Khaa!! basi kuna mijinga mingi sana hukoArushaaa eshimaa tuu ndo inatakiwaa ukijidai mbabe unajua karate utakula kisu ya koo ufie mbali. Ukijidai na kibastolaa utawahiwa na wenye SMG na ukitishia smg utaviziwaa tuu na we upewe kituako hakunaga kuoneana huku kwetuu tuliozoeaa wala hata hatuon shidaa tena sahv afadhali aman inazid kueneaa. Kipindi cha miaka kama mitano au sita nyumaaa ndo ilikuwa balaaaa
Khaa!! basi kuna mijinga mingi sana huko
Lema kawafundisha ujinga vijana wa arusha. Kawahamasisha uhuni na uvutaji bangi na madhara ndo hayo sasa
Nimazaliwa arusha na kukulia arusha huo ndio utaratibu toka siku nyingi. Mwanaume eti ni lazima uwe na alama ya ujasiri(kovu Iiwe la kisu jiwe ngumi panga....). Mi yalinishinda makazi yangu nimehamishia mkoa mwingine.
Vijana wa Arusha walipokubali kunyweshwa Viroba na Mikate na Lema ndipo walipokosea!!!
Ndio basi tena kama akili ndio hii.Chuga ni USA ya Tanzania unyoronyoro hautakiwi kila mtu yupo fiti muda wote! Ukizingua tu inakula kwako chaliiii yangu!
Lema ana mtazamo + ndiyo maana Vijana wanamkubali.
Lema kawafundisha ujinga vijana wa arusha. Kawahamasisha uhuni na uvutaji bangi na madhara ndo hayo sasa
Ahhahah!Katika miji ambayo inatakiwa uwe makini sana ukiishi basi hapa Arusha,watu wako tayari muda wote kwa lolote lile!sio wanawake wala watoto,wanafunzi ndio kabisaa!!
Poleni sana wageni.
Lema kawafundisha ujinga vijana wa arusha. Kawahamasisha uhuni na uvutaji bangi na madhara ndo hayo sasa
Kamanda unaogopa ngeu...Nimazaliwa arusha na kukulia arusha huo ndio utaratibu toka siku nyingi. Mwanaume eti ni lazima uwe na alama ya ujasiri(kovu Iiwe la kisu jiwe ngumi panga....). Mi yalinishinda makazi yangu nimehamishia mkoa mwingine.
Mkuu hayo maisha yapo huko ushenzini labda ar ingekua n hiyo shida hizi taasisi z ICTR,EAC,aghakan foundation n jumuia y madola zisingeletwa hapa arusha ipo peace tu.hata SA napo ni chuga nini mana huko ndio wa2 wanachomana visu n mapanga kukatana.
Mtu unakaa sehemu mda wote gongo n bangi inauzwa unategemea wasichomane visu wao mda wote wanacheza kamari wakirusha visu ndio suluhu