Arusha hali si shwari kabisa

Arusha hali si shwari kabisa

Sidhan vitendo kama hivyo vinaleta heshima katika jamii au kwamba uonekane wewe jasiri sana na unajiamin. Na bado mtu anayefanya hivyo hana dira yoyote ya maisha,ni bora kupambana kutafuta maisha na kupambana kwenye mambo ya ugomvi ambayo hayana masilahi yoyote
 
Vp manuu.. ulikuja sanawari hujanishtua ...
Yule kijana anashikiliwa na jeshi la polisi kati... tuliwawahi kabla hawajafika hosp ili tuende na sheria kwnza...
 
Nimazaliwa arusha na kukulia arusha huo ndio utaratibu toka siku nyingi. Mwanaume eti ni lazima uwe na alama ya ujasiri(kovu Iiwe la kisu jiwe ngumi panga....). Mi yalinishinda makazi yangu nimehamishia mkoa mwingine.

Ulihama na mamacollins?
 
Lema kawa mbunge wa chuga baada ya yule mama...na kipindi cha yule mmama chuga ndo ilkuwa laana kinoma..kidogo kwa sasa mitaa kama mianzi,na matejoo saa moja moja utakatisha lakini 2006 kurudi nyuma...kusikia pipe kwa jirani daily ilikuwa kawaida aseeh...so sioni uhusiano wa lema na maisha ya ara...maana kina fred j na watu kama father nel masuala ya bisu ilikuwa kabla ya lema...ila kama unamtaja kwa kujifurahisha endelea babuu

Uko sawa kamanda.

Bodaboda zimesaidia sana machalii kujiajiri.
Kuna mitaa ilikuwa ni ngumu kukatiza giza likiingia.
Beto zilikuwa njenje.

Boodaboda zikipigwa marufuku Chuga, itakuwa kutembea mwisho saa 12 jioni.
 
Uko sawa kamanda.

Bodaboda zimesaidia sana machalii kujiajiri.
Kuna mitaa ilikuwa ni ngumu kukatiza giza likiingia.
Beto zilikuwa njenje.

Boodaboda zikipigwa marufuku Chuga, itakuwa kutembea mwisho saa 12 jioni.

Huo ndo uhalisia wa chuga..ila uyo jamaa anahusiasha maisha ya ara..na Lema may be anaendeshwa na political affiliation
 
Ulihama na mamacollins?

Nilihama huko hata sijaitwa babacollins wala mamacollins sikumpata arusha. Mademu wa arusha wababe wanapenda watu wa shari ningewaweza wapi. Maisha yenyewe stress kibao halafu ujitafutie zinazoweza kuepukika?!!?
 
Mkuu hayo maisha yapo huko ushenzini labda ar ingekua n hiyo shida hizi taasisi z ICTR,EAC,aghakan foundation n jumuia y madola zisingeletwa hapa arusha ipo peace tu.hata SA napo ni chuga nini mana huko ndio wa2 wanachomana visu n mapanga kukatana.
Mtu unakaa sehemu mda wote gongo n bangi inauzwa unategemea wasichomane visu wao mda wote wanacheza kamari wakirusha visu ndio suluhu
Sehemu kubwa ya arusha ni maeneo yaliyojaa wahuni. Sehemu unazozitaja wewe ndio chache kuliko mashenzini. Amani ipo lakini si salama. Hata Kenya amani ipo lakini si salama.
 
Mtu ukikulia mitaa migumu lazima uwe ngirima!
Lazima ujifunze elimu ya mtaani.
Kuhusu visu arusha ni kitambo tu hiyo kitu ilikuwepo na itaendelea kuwepo.

Hii ndio hali halisi wanaopinga wageni.
 
kwahiyo ulihama arusha kwasababu hiyo tu au kuna nyingine mkuu?

Hahaaaa soma tena niliyoandika. Kifupi niliazimia Arusha hayatakua makazi yangu. Wazazi wangu na ndugu zangu wengi sana wapo na haipoti mwaka lazima nitembelee lakini kuishi bado, hahaaahaaaa wagumu mpaka wamepitiloza lol.
 
Haaaahaaa co mijingaaaa ni watu na mambo zaooo ukiletaaa ukudaaa unapatiwaaa kituu roho inatakaaa

Hahaaa arusha naipenda lakini kwa kuiona na kuisikia kwa mbali. Hua wanasema kwa utani kama hivi lakini ni kweli unapewa kitu inauma ukileta za kisoro hahaaaa.
 
Noma sana, hii mambo ikogo kitambo tu lakini, kwa wenyeji haitusumbui sana. Tutarudi tujaribu kupunguza kwa kizazi kitakachofuata.

Nilisikitika sana classmate wangu (Nelly) alikufa kwa kisu wakati ndio kwanza wanaipeleka hip hop nje kwa kishindo.
 
Sehemu kubwa ya arusha ni maeneo yaliyojaa wahuni. Sehemu unazozitaja wewe ndio chache kuliko mashenzini. Amani ipo lakini si salama. Hata Kenya amani ipo lakini si salama.

Mkuu ni maeneo machache yenye tabia hizo haswa kijenge,ngarenaro,matejo,ungaltd n kambi ya fisi ila kwasasa kuna matukio machache c kma zamani
 
Lema kawa mbunge wa chuga baada ya yule mama...na kipindi cha yule mmama chuga ndo ilkuwa laana kinoma..kidogo kwa sasa mitaa kama mianzi,na matejoo saa moja moja utakatisha lakini 2006 kurudi nyuma...kusikia pipe kwa jirani daily ilikuwa kawaida aseeh...so sioni uhusiano wa lema na maisha ya ara...maana kina fred j na watu kama father nel masuala ya bisu ilikuwa kabla ya lema...ila kama unamtaja kwa kujifurahisha endelea babuu

Mama yupi kabla ya Lema? Wengine kwa kufuata mkumbo hamjambo? Kabla ya Lema mbunge alikuwa Felix Mrema sasa mama alikuwa mbunge wa Kwa Mromboo?
 
Mama yupi kabla ya Lema? Wengine kwa kufuata mkumbo hamjambo? Kabla ya Lema mbunge alikuwa Felix Mrema sasa mama alikuwa mbunge wa Kwa Mromboo?

Kwa iyo morombo ni jimbo? sometimes mtu akiwa marilanya anaweza badilishiwa jina......so ata wewe Usishangae kuitwa hilo jina
 
Back
Top Bottom