nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Ukumbi wa Nyerere ulijengwa enzi za JK
Usishangae sana, weka akiba ya mshangao.
Kwasababu muda si mrefu utajengwa ukumbi mwingine wa mikutano "MAGUFULI CONFERENCE" kule chato.
Halafu itakubidi ushangae tena. Jamaa angweza hata kuibeba bandari kama alivyobeba wanyama basi angeipeleka huko.