Arusha city Geneva ya Afrika imegeuka Mogadishu ya Tanzania

Hatujui kujenga uchumi, huo ndiyo ukweli ni lazima tujifunze, AICC ilikuwa inasaidia sana uchumi wa huo Mji hata kuufanya tu ujulikane nje ya Tanzania kama Mikutano mikubwa ingefaynikia huko, fikiria enzi za Mandela kama msuluhishi wa Rwanda/Burundi Mzee Mkapa (RIP) alikuwa anafanyia Mikutano AICC Arusha City, Mikutano mikubwa ikienda Arusha Uwanja wa ndege wa KIA unatumika unajaa ndege na wageni hii ingesaidia sana uchumi wa huko, sasa kila kitu wamehamishia Dar, Dar ambayo tayari ina vyanzo vya kutosha vya mapato, ...
Labda wanataka mji uwe kama Lindi ili kuwakomoa akina fulani... Hawapendi tena kusikia habari za Northern circuits
 
Hatujui kujenga uchumi, huo ndiyo ukweli ni lazima tujifunze, AICC ilikuwa inasaidia sana uchumi wa huo Mji hata kuufanya tu ujulikane nje ya Tanzania kama Mikutano mikubwa ingefaynikia huko, fikiria enzi za Mandela kama msuluhishi wa Rwanda/Burundi Mzee Mkapa (RIP) alikuwa anafanyia Mikutano AICC Arusha City, Mikutano mikubwa ikienda Arusha Uwanja wa ndege wa KIA unatumika unajaa ndege na wageni hii ingesaidia sana uchumi wa huko, sasa kila kitu wamehamishia Dar, Dar ambayo tayari ina vyanzo vya kutosha vya mapato, ...

Wacha aendelee kushangaa sasa hv mambo ni bam bam Dodoma city njooo mji wa kiserikali uone Mtumba kama ulaya vile
 
Mbona ukumbi upo vizuri tu, nilikuwepo hapo kwenye kongamano la kitaifa la UVCCM mwanzoni mwa mwaka huu.

Arusha ilirudishwa nyuma na hao CHADEMA ndio maana wananchi wamechoka matapeli wa kisiasa na kwenda na CCM. Subiri ndani ya miaka hii mitano jinsi itakavyobadilika.
Hizi ndizo akili zao, wamejaza funza kichwani, miaka 5 si mingi tutapita hapa ku evaluate huu upuuzi wako...
 
Aisee Arusha imekua kituko, maana miradi yooote iliyokua ikiichangamsha Arusha haipo, Arusha ilichangamshwa na
1. Tanzanite ambayo sasa haipatikani tena kimagendo, haya madini yalichangamsha mji na watu walikua na pesa nyingi mnoo
2. Utalii na Chain ya biashara zilizoizunguka, kilimo, hotel n.k. sasahivi Utalii Chali na Mahotel ndio hayo yanageuka hostel
Arusha matajiri wengi wamefilisika yaani wamekua average people kabisaaaa
 
Siasa za Lema yule aliyekimbilia Canada ndio zimeifikisha Arusha hapo ilipo,

Lema alikuwa anawadanganya Wana Arusha kuandamana kumbe hawajui wanaharibu uchumi wa mji wao.

Baada ya kuonekana Arusha hapakaliki tena wakaamua kupeleka mikutano Dar kusikokuwa na vurugu na aibu za maandamano yasiyo na tija.

Hapo AICC walikuwa wanafanyia pia mikutano ya TLS chama cha wanasheria Tanganyika, akaja Lisu na gundu lake , kakiharibu chama, kwa kukigeuza kijiwe cha siasa zake za maji taka, TLS imefutwa , hakuna Mikutano tena, ya Arusha iliyokuwa ikifanyika Mara Mbili kwa mwaka na Arusha ilikuwa ikihost si chini ya wanasheria elfu mbili kwa siku tano.

Ndio mtaona madhara ya siasa za kitoto walizokuwa wakifanya Chadema, haya Lema ndio huyo kakimbilia Canada na Lisu yupo Ubelgiji, wanaopata madhara ni wengine.
 
Kiukweli Arusha ya sasahiv sio ile ya miaka mitano kurudi nyuma, hali ya uchumi ni mbaya sana, wananchi wanataabika sana pale
Arusha ilikua na mbunge upumbavu sana.
Alikua na siasa za kijinga sana. Harakati muda wote wakati yeye ndiye mbunge aliyekua madarakani .
Lema ana siasa za kijinga sana. Ana siasa za fitina ndani na nje ya chama chake jambo wakati alikua wazi kuwa madiwani wake walikua na uwezo mkubwa kuliko yeye hali iliyokuwa inampa woga ndani na nje!!
Chadema ijipange upya ije na sura nyingine sio zile za vurugu na maandamano yasiyo na tija.
 
Mtoa mada una kichwa kibovu juu ya uchumi na drivers zake. Unataka kusema huko nyuma mikutano yooote ilifanyika Arusha tu? Nachojua mikutano ilikuwa inafanyika kotekote hata kabla ya kuwa na AICC (ya Dar).
Uchumi ni namba na namba huwa hazidanganyi wala kudanganywa. Kinachoendelea sababu zake si kuwepo kwa ukumbi mpya Dar, ni mabadiliko ya uchumi tu yanayoendelea nchi nzima na hata kama ukumbi wa Dar usingejengwa bado AICC (Arusha) au Arusha kwa ujumla kusingekuwa na mikutano kama ivyokuwa huko nyuma. Tatizo hamkujua drivers za uchumi wa Tanzania ambao private sector yake ilihitaji mkono wa serikali kwa zaidi ya 90% kwa angalau miaka 30 ijayo kabla ya kuiacha. Unakata tawi ulilokalia ili kumuangusha nyani aliyeko nchani mwa tawi hilo.

When it comes to economics and resources management, there are two ways of handling it, resources allocation and resources location(distribution). Economics preferred "resource allocation", politics preferred " resource distribution".

Lakini pia wakati unasikitishwa na kufifia kwa jiji la Arusha kutokana na kujengwa kwa ukumbi wa mikutano Dar, usiache kuumiza kichwa ikiwa majengo makubwa na mazuri yaliyojengwa Dar (ima na serikali yenyewe au mifuko ya hifadhi) yatakuwa yanatumikaje, na hali itakuwaje miaka10-20 ijayo ukizingatia majengo yaliyo mengi kati ya hayo yamejengwa kwa kodi za wanyonge katika kipindi cha miaka chini ya 30 iliyopita! So let's enjoy the outcomes of our choice.

#5tena
 
Arusha ilikua na mbunge upumbavu sana.
Alikua na siasa za kijinga sana. Harakati muda wote wakati yeye ndiye mbunge aliyekua madarakani .
Lema ana siasa za kijinga sana. Ana siasa za fitina ndani na nje ya chama chake jambo wakati alikua wazi kuwa madiwani wake walikua na uwezo mkubwa kuliko yeye hali iliyokuwa inampa woga ndani na nje!!
Chadema ijipange upya ije na sura nyingine sio zile za vurugu na maandamano yasiyo na tija.
Wahi Milembe. Si kwa upoloto huu!
 
Siasa za Lema yule aliyekimbilia Canada ndio zimeifikisha Arusha hapo ilipo,

Lema alikuwa anawadanganya Wana Arusha kuandamana kumbe hawajui wanaharibu uchumi wa mji wao.

Baada ya kuonekana Arusha hapakaliki tena wakaamua kupeleka mikutano Dar kusikokuwa na vurugu na aibu za maandamano yasiyo na tija.

Hapo AICC walikuwa wanafanyia pia mikutano ya TLS chama cha wanasheria Tanganyika, akaja Lisu na gundu lake , kakiharibu chama, kwa kukigeuza kijiwe cha siasa zake za maji taka, TLS imefutwa , hakuna Mikutano tena, ya Arusha iliyokuwa ikifanyika Mara Mbili kwa mwaka na Arusha ilikuwa ikihost si chini ya wanasheria elfu mbili kwa siku tano.

Ndio mtaona madhara ya siasa za kitoto walizokuwa wakifanya Chadema, haya Lema ndio huyo kakimbilia Canada na Lisu yupo Ubelgiji, wanaopata madhara ni wengine.

STROKE
 
Arusha ilikua na mbunge upumbavu sana.
Alikua na siasa za kijinga sana. Harakati muda wote wakati yeye ndiye mbunge aliyekua madarakani .
Lema ana siasa za kijinga sana. Ana siasa za fitina ndani na nje ya chama chake jambo wakati alikua wazi kuwa madiwani wake walikua na uwezo mkubwa kuliko yeye hali iliyokuwa inampa woga ndani na nje!!
Chadema ijipange upya ije na sura nyingine sio zile za vurugu na maandamano yasiyo na tija.
Itakuwa Lema alikuwa Bwana wako si bure
 
Kafanyieni mikutano ya Vipaimara , ubatizo , vicoba na kuvunja kamati za harusi.


Wewe Ni Beberu usitupangie.


"Nasema uongo ndugu zangu"

Itikia "Kweli Babaaaaaaaaaaaaaaaaa"
 
Serikali yetu imechangia kuuwa mji wa Arusha, kwa nini walijenga ukumbi wa Nyerere Dar wakati tayari AICC ipo ? AICC ilikuwa ni chanzo kikubwa sana cha Uchumi wa Arusha City baada ya UN, sasa UN wameondoka, AICC Mikutano hakuna kwa maana yote inafanyikia Dar unajiuliza kwa nini waliamua kujenga huu ukumbi wa Mikutano Dar kwangu mimi ni fumbo, unawezaje kujenga uchumi wa Tanzania wakati unabomoa uliopo ? Sasa hivi Arusha Hoteli zinafungwa hakuna kitu, fikiria tu kwa mfano kwa kawaida Mkutano mkubwa kama wa sadc ungefanyikia Arusha City lkn ulifanyikia Dar sababu ya ukumbi wa Nyerere.

Dar tayari ni mji tajiri Tanzania hivyo hakuna haja tena ya kuipora Miji mingine chanzo cha mapato au mnataka Tanzania nzima wahamie Dar au vipi ? Nilisafiri ktk Dar -Arusha inasikitsha sana, baada ya kukata kona ya Segera -Moshi-Arusha tu ni kama unaenda kijijini hakuna magari kabisa na ni mpaka Arusha, zamani hii barabara ilikuwa imejaa magari.

Bill Clinton aliita Geneva ya Afrika alipofika Arusha City leo hii hakuna kitu , ...

AICC enzi za uhai wake, RIP ukumbi wetu.

View attachment 1647563

View attachment 1647554
Kwan Gambo hajui ichi kilio chenu ?

Maana kuna kipindi mzee wa canada nilimsikiaga bungen akilia lia juu ya utalii wa chuga
 
Back
Top Bottom