KWELI ARUSHA INAKUFA. KUNA jamaa ana nyumba NGULELO ya vyumba viwili, jiko, store, chumba kimoja ni self , maji, umeme na fence ya matofali. ANALIPWA 100!000 KODI KWA MWEZI.
KWELI ARUSHA INAKUFA. KUNA jamaa ana nyumba NGULELO ya vyumba viwili, jiko, store, chumba kimoja ni self , maji, umeme na fence ya matofali. ANALIPWA 100!000 KODI KWA MWEZI.
Bei sawa na nyumba za TukuyuKWELI ARUSHA INAKUFA. KUNA jamaa ana nyumba NGULELO ya vyumba viwili, jiko, store, chumba kimoja ni self , maji, umeme na fence ya matofali. ANALIPWA 100!000 KODI KWA MWEZI.
Sijaelewa mantiki ya hoja yako kujikita kwenye ukumbi pekee, unamaanisha hatukupaswa kujenga ukumbi wowote Nchi nzima sababu upo wa AICC?
Hata kufikiria kuwa mikutano kutofanyika AICC sababu pekee ni kujengwa ukumbi wa JNICC hilo pia ni jambo la kushangaza..
Hiv ni wewe au mwingine amecomment kupitia account yako? Kumbe kuna muda akili huwa zinatulia kabisa unaweza kuona haya?! AiseeeHatujui kujenga uchumi, huo ndiyo ukweli ni lazima tujifunze, AICC ilikuwa inasaidia sana uchumi wa huo Mji hata kuufanya tu ujulikane nje ya Tanzania kama Mikutano mikubwa ingefaynikia huko, fikiria enzi za Mandela kama msuluhishi wa Rwanda/Burundi Mzee Mkapa (RIP) alikuwa anafanyia Mikutano AICC Arusha City, Mikutano mikubwa ikienda Arusha Uwanja wa ndege wa KIA unatumika unajaa ndege na wageni hii ingesaidia sana uchumi wa huko, sasa kila kitu wamehamishia Dar, Dar ambayo tayari ina vyanzo vya kutosha vya mapato, ...
Wamtafute aliyei-brand serengeti lite anaweza kusaidia kuirudisha Arusha kwny enzi zake.Kitengo cha masoko kinasemaje ?
Hamna namna namna hapo, mambo mengine yanahitaji ubunifu wa kimasoko zaidi.Wamtafute aliyei-brand serengeti lite anaweza kusaidia kuirudisha Arusha kwny enzi zake.
Natoka arusha na ulichokiongea ni sahihi kabisaKujengwa kwa ukumbi Dar,haimaniishi kumbi zingine zife,
Uwezi kuzuia watu wasijenge viwanda,kwa sababu vitafanana na viwanda vya mikoa mingine,
Jiulize General tyre ya Arusha ipo wapi?
Mi nashauri hizi kumbi zijengwe nyingi tu,Mwanza,Dodoma,Mbeya.
Sukari ipo Kagera sugar,Kilombelo,Kwenye cement,tupo Tanga cement,Mbeya cement,Dangote Mtwara,na Wazo hill Dar.
Kufa au kukosa mapato kwa AICC,kusiusishwe na Nyerere conference Dar,kuzuia Nyerere conference,isifsnye kazi,Ili kuiokoa AICC,ni akili mfu,zisizo na tija kabisa.