ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,051
- 49,735
Wakati anakanidhi Ofisi Kwa Mteule Mpya,Efraim Mafuru amesema Mda wowote kutoka Sasa , Serikali ya Mama itaanza ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa Maarufu kama Mount Kilimanjaro International Convention Centre(MK-ICC) jijini Arusha.
Ikumbukwe Hadi ya ujenzi wa Ukumbi Mkubwa zaidi wa Mikutano Tanzania imekuwepo Kwa zaidi ya miaka 18 bila kutekelezwa lakini awamu hii ya 6 chini ya Rais mbunifu na fundi wa kusaka pesa inaenda kuanza Ujenzi rasmi Kwa gharama ya takribani Bilioni 300 na tayari Imetoa renders za jinsi Ukumbi utakuwa.
Hii inakuja wakati Tanzania inaibuka kuwa Kituo Kikuu Cha Utalii wa mikutano ambapo Sasa hivi Iko top 5 ya Nchi zinazoandaa mikutano Mingi Barani Afrika.
Bwana Mafuru ambae ameteuliwa kuwa Boss Mpya amesema anaondoka AICC akiiacha ikiwa imeanza kupata faidia tofauti na Miaka ya nyumba ambapo Kituo kilikuwa kinakula hasara Kwa kukosa biashara na mikutano.
View: https://www.instagram.com/p/C5Db80SolNR/?igsh=MTcyMjRiY3Q5bTI0cg==
My Take
Hongera sana Rais Samia, maneno kidogo matendo zaidi.
Ila wadau Mnaionaje hii render machoni? Mbona kama haivutii? Imefanana na majengo ya kale yaliyopo China.
Pia soma Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15
Ikumbukwe Hadi ya ujenzi wa Ukumbi Mkubwa zaidi wa Mikutano Tanzania imekuwepo Kwa zaidi ya miaka 18 bila kutekelezwa lakini awamu hii ya 6 chini ya Rais mbunifu na fundi wa kusaka pesa inaenda kuanza Ujenzi rasmi Kwa gharama ya takribani Bilioni 300 na tayari Imetoa renders za jinsi Ukumbi utakuwa.
Hii inakuja wakati Tanzania inaibuka kuwa Kituo Kikuu Cha Utalii wa mikutano ambapo Sasa hivi Iko top 5 ya Nchi zinazoandaa mikutano Mingi Barani Afrika.
Bwana Mafuru ambae ameteuliwa kuwa Boss Mpya amesema anaondoka AICC akiiacha ikiwa imeanza kupata faidia tofauti na Miaka ya nyumba ambapo Kituo kilikuwa kinakula hasara Kwa kukosa biashara na mikutano.
View: https://www.instagram.com/p/C5Db80SolNR/?igsh=MTcyMjRiY3Q5bTI0cg==
My Take
Hongera sana Rais Samia, maneno kidogo matendo zaidi.
Ila wadau Mnaionaje hii render machoni? Mbona kama haivutii? Imefanana na majengo ya kale yaliyopo China.
Pia soma Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15