Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,731
- 218,307
Kila mwenye macho ajisomee mwenyewe.
Kuna A town na Mbeya wasa seleka za siasa balaa!!
Kwani shida ni ipi hata wakiwabebaMjitahidi kuwa wengi msibebe watu kutoka Manyara kama mlivyofanya Mbeya mkabeba watu kutoka Tanga
Wanakuwa wanatuchanganya waandamanaji tunakuwa hatuwezi kuongea lugha mojaKwani shida ni ipi hata wakiwabeba
Umeambiwa ni harusi hiyo au mashindano ya ulimbwende, Hadi uulizie mvuto?Tatizo maandamano ya sasa hayana mvuto,
Noma sana!Umeambiwa ni harusi hiyo au mashindano ya ulimbwende, Hadi uulizie mvuto?
Mbona anarudia rudia sana hilo neno amani anapagawa na nini?
Noma sana!Umeambiwa ni harusi hiyo au mashindano ya ulimbwende, Hadi uulizie mvuto?