Arusha: Anywa sumu akiwa kituo cha polisi na kufariki dunia

duh migogor ya familia hat kwa mjumbe aijawah kufika si rahis manak mikwaruzan ya ndoa maranying uanzia usiku mkishindw kuelewana mkagombana hatua ya kwanza kwa mjumbe inaman ao tukio la kwanza tu polis thn mtuhmiw atoe sum anywe askar wanamungalia tu nabyupo chin ya ulinz iz mamb dar yle mwngne nae dereva wa wataliii ripot yke magumash tu aiwezkan kes mtu kafia polis alaf wachunguz wawe polis then ndo watoe majib..sheria zetu mbaya afuen irekebshwe kes ikitokea polis uchunguz waje maofsa labd wa mahakama na tamisem ambao wanakua washafundshwa bt polis kuchunguza kifo knachousian na polis ni paranoid ambay ita3ndelelea kila uchwao
 
Back
Top Bottom