Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,164
- 16,252
Hadi sasa vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa kudhibiti hii hali, hii serikali sasa haina meno kabisa mda si mrefu ujambazi utashamiri kila kona kama hili tu wanaliona ni jambo la kawaida.