Arusha: Aliyeua na kuondoka na kichwa cha mlinzi ni mlinzi mwenzake

Hadi sasa vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa kudhibiti hii hali, hii serikali sasa haina meno kabisa mda si mrefu ujambazi utashamiri kila kona kama hili tu wanaliona ni jambo la kawaida.
 
Kama namuona alivyokuwa anaondoka

20220128_221738.jpg
 
Raymond Mollel amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mlinzi mwenzake kwa kumchinja na kuondoka na kichwa chake bila kuiba kitu eneo la tukio.

Mtuhumiwa huyo amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipokificha kichwa cha mwenzake. Raymond na marehemu walikuwa walinzi wa Meya wa Arusha, Maxmillian Iranghe.

Pia, soma: Arusha: Mlinzi auawa kwa kuchinjwa, wauaji waondoka na kichwa

Millard Ayo, Video

Mmmh kweli ana roho ngumu mpk akate shingo yote ya binadam mwenzie tumwombe Mungu kwakweli.
 
Back
Top Bottom