Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,717
- 29,074
And that's rule number one if you want to stay safe.Watu Wana laaana Sana ,
Kweli trust no 1 Mamaeee
TRUST NO ONE!
And that's rule number one if you want to stay safe.Watu Wana laaana Sana ,
Kweli trust no 1 Mamaeee
Acha hizo.
Mauaji ni kila kona ya nchi, walau Pwani si sana. Sie watu wa bara tumezidi kutoana roho.
Kila kona ya mikoa ya nchi ni mauaji.
Au angeenda vuta bange kituoniUkitamani ugali WA bure siyo uue, huyo angeiba kuku Tu WA jirani na kitenge kwenye kamba angefungwa, akifika anaiba Duka la sabuni na ndoo ya mafuta
Kuwa na huruma na mtanzania mwenzako wewe. Unamtamania anyongwe wakati naye ana
Sukuma gang bana,kumbe wakina mollel Ni wachaga?Labda wachaga wa Chato.Muuwaji na alieuawa ni wakazi wa wawapi? Kabila gani?
Hasara ya kuwa na akili za nyumbuHizi tabia za kishetani zilipandikizwa na yule jamaa aliyepo motoni.
Nani Tena atakaye kamatwa tu?Atakamatwa tu
Nilitegemea watakionyesha kichwa dah, hii kabila dah. Hivi kwa haya matukio yanatokea kuna mchagga anajivunia kuwa mchagga??
Hata siyo mchaga aliyefanya mauaji ni Masai! Acha chuki na wachagaNilitegemea watakionyesha kichwa dah, hii kabila dah. Hivi kwa haya matukio yanatokea kuna mchagga anajivunia kuwa mchagga??
Unalaana wewe sio bure. Mauaji ya holela yalipamba moto kipindi cha pili cha kikwete akaja jemedari Magufuli akakomesha huo upuuzi. Ktk kipind chake hatukuona askari wala RAIA wakiuwana hovyo.Hizi tabia za kishetani zilipandikizwa na yule jamaa aliyepo motoni.
MuuajiNani Tena atakaye kamatwa tu?
Cna chuki na kabila lolote, ilaa wengi wao tabia zao mbovuHata siyo mchaga aliyefanya mauaji ni Masai! Acha chuki na wachaga
Mollel ni waarusha!Sukuma gang bana,kumbe wakina mollel Ni wachaga?Labda wachaga wa Chato.
Duh aisee huyo masai mbona katisha yani kaondoka na kichwa cha mwenzie kabisaaa.loh hatarisana huko TZ