Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,673
- 22,264
Umeambiwa amekamatwa, wewe unasema atakamatwa tu!Kwani we ndo umeua.
Kuua mtu kwa kudhamilia ni kiwango cha chini sana cha kufikiri.Labda tu kama unatamani ugali wa bure jela baaada ya maisha kukupiga