Arsenal wakitwaa ubingwa wa EPL haya yatatokea.

Arsenal wakitwaa ubingwa wa EPL haya yatatokea.

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
15,167
Reaction score
28,202
Endapo Arsenal itatwwa ubingwa wa EPL mambo mengi yanaweza kutokea/kubadilika. Haya 👇ni baadhi tu.

1. Paul kagame atakuwa kibonge maana Arsenal ndo club aioendayo duniani.

3. Mashabiki wa manjesta unaited watazidi kukonda japokuwa uwezekano wa wa kumaliza kwenye top four ni mkubwa kwao.

4. Secretarybird nitanyoa mavuzi yangu ambazo tangu mwaka 2016 niliahidi kuwa nitayanyoa endapo Arsenal wakinyakua EPL.

Haya ni kwa uchache tu, nitazidi kuongeza kadiri muda unavyosonga mbele.

Cc Mbaga Jr
adriz da mbooz.
 
Huu mwaka nyeto itaniua, labda huu mkono wangu wa kulia ambao ndo machachari kwenye kuukwea mnazi ukatwe.

Arsenal nyie Arsenal 🔥.
Njia za nyeto zipo nyingi sana mkuu, hakikisha ukilema haukufanyi ushindwe kupata raha ya nyeto..

Mm nshawaambia ndugu zangu, siku Nikifa bc kila aliyehudhuria msiba wangu wapige nyeto kwenye kaburi langu ndipo nizikwe Ili nione upendo wao kwangu
 
Njia za nyeto zipo nyingi sana mkuu, hakikisha ukilema haukufanyi ushindwe kupata raha ya nyeto..

Mm nshawaambia ndugu zangu, siku Nikifa bc kila aliyehudhuria msiba wangu wapige nyeto kwenye kaburi langu ndipo nizikwe Ili nione upendo wao kwangu
Hiyo idea nimeipenda ila naogopa kuwaambia wanaukoo maana wengi wao ni mashehe, mapadre na wachungaji wa makanisa ya kiinjili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom