Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vivaaa gunners...

Nimeshabishana mpaka mate yamenikauka,labda nijaribu huku JF naweza nikaeleweka...

Tuache mazoea,ukubwa wa jina,mafanikio,mabavu/nguvu nk.
Kati ya wilshire na ozil ni nani fundi...??

On my side naona Wilshire ni mziki mwingine..!!!
 
Vivaaa gunners...

Nimeshabishana mpaka mate yamenikauka,labda nijaribu huku JF naweza nikaeleweka...

Tuache mazoea,ukubwa wa jina,mafanikio,mabavu/nguvu nk.
Kati ya wilshire na ozil ni nani fundi...??

On my side naona Wilshire ni mziki mwingine..!!!



Ahsante kwa kukubali hilo, tunajua kwamba sifa ya kwanza na muhimu zaidi ya kuwa Arsenal fan ni kuwa mbishi tu bila logic wala fact. Kuna wengi tu hapa kwenye jukwaa lenu wamewahi kubisha hata pale wanapopewa facts, kwa hiyo haujapotea uko kwenye jukwaa sahihi, jiandae tu kuwa na mate ya ziada maana JF ni ukumbi wa facts. Karibu sana!
 
Ahsante kwa kukubali hilo, tunajua kwamba sifa ya kwanza na muhimu zaidi ya kuwa Arsenal fan ni kuwa mbishi tu bila logic wala fact. Kuna wengi tu hapa kwenye jukwaa lenu wamewahi kubisha hata pale wanapopewa facts, kwa hiyo haujapotea uko kwenye jukwaa sahihi, jiandae tu kuwa na mate ya ziada maana JF ni ukumbi wa facts. Karibu sana!

Hahahah.... Peasant bana, huyu mgeni wetu hapa weye jirani unakuja mtia maneno, kha?!

Siku ya tatu leo tangu ule msiba wenu na Basle, matanga mtayaanua kwa pilau la mzee #AllyMapilau au mtatunywesha uji na maharagwe kama msiba wa Everton na Bayern?

Poleni watani....
Oopsss, pale Cobham training centre leo nimeona wadhungu na banners zao "Mourinho Out!" Wengine yao yameandikwa "Mourinho Is Sell By Date!"....
🙉
 
Last edited by a moderator:
Hahahah.... Peasant bana, huyu mgeni wetu hapa weye jirani unakuja mtia maneno, kha?!

Siku ya tatu leo tangu ule msiba wenu na Basle, matanga mtayaanua kwa pilau la mzee #AllyMapilau au mtatunywesha uji na maharagwe kama msiba wa Everton na Bayern?

Poleni watani....
Oopsss, pale Cobham training centre leo nimeona wadhungu na banners zao "Mourinho Out!" Wengine yao yameandikwa "Mourinho Is Sell By Date!"....
🙉

Ahaaa mkuu Bado hawajaanua Matanga si unajua jumamosi kunaweza kuwa na msiba mwingine kule hospitalini Fulham??
Mgonjwa hali yake tete na Dr mkuu Mourinho ndo hivyo haeleweki muda wote kalewa....
Labda tupunguze Maturubai tu kwa sasa.
 
Last edited by a moderator:
Msimu huu huenda Wenger ataangukiwa na bahati ya kuchukua hiyo champions league.

Arsenal ikichukua UCL msimu huu wa 2013/14, naacha kuwa mfuasi wa Manchester United na kuanza kushabikia Arsenal.

Kumbuka maneno hayo.
 
article-2426818-181E7AB100000578-971_964x381.jpg



Mambo ya Colney haya leo hii .... ... ..


article-2426818-181DC8AE00000578-99_964x430.jpg


article-2426818-181DD8FB00000578-810_964x697.jpg


New boy: Mesut Ozil looked like hen was enjoying himself as Arsenal lined up for their official squad photograph for the season... but Jack Wilshere (left) didn't seem quite as happy


article-2426818-181DE67A00000578-185_964x665.jpg


Say cheese: Olivier Giroud, Per Mertesacker and Abou Diaby strike
a pose Arsenal's London Colney training ground on Friday morning


article-2426818-181DE6BF00000578-863_964x662.jpg



Thumbs up: Lukas Podolski, Theo Walcott, Kieran Gibbs and Santi Cazorla
show team spirit is not is short supply at Arsenal this season




article-2426818-181DD90C00000578-773_964x711.jpg


Scary: Podolski, who is expected to be out of action until December
due to injury, acts up for the camera




BTW habari za ndani zinachema Inzi yes Inzi ushoga umemchosha chacha anataka kurudi Gunners ... ...... .. huyu Nzi ooops Inzi ni katika lile kundi la grory hunters kama peas of ants.
 
Arsenal ikichukua UCL msimu huu wa 2013/14, naacha kuwa mfuasi wa Manchester United na kuanza kushabikia Arsenal.

Kumbuka maneno hayo.

......kha?!....,
Hataaa..., hatutaki, bakia huko huko Everton, arghh....Maniyuuu!!!
 
Arsenal ikichukua UCL msimu huu wa 2013/14, naacha kuwa mfuasi wa Manchester United na kuanza kushabikia Arsenal.

Kumbuka maneno hayo.
Nina wasiwasi wewe ni mfuasi wa arsenal maana kila siku umo humu badala ya kuwa kule jukwaani kwenu....
 
Nina wasiwasi wewe ni mfuasi wa arsenal maana kila siku umo humu badala ya kuwa kule jukwaani kwenu....

Katavi Mbu na Wacha1 someni maneno yale vizuri haswa wewe Wacha1 makelele!

Arsenal FC siyo klabu ya Football Club, ni Financial Company!

Hivyo kushinda makombe siyo priority, bali kupata faida ya pesa.

Ndiyo maana nime-dare kusema hivyo; nikijua haitowezekana kwa aina ya wachezaji na mfumo uliopo Arsenal Financial Company.

Katavi nipo kila mahala, ndio maana naitwa Nzi. Nzi ukaa chooni, kwenye utamu, uchafu, ukakasi, uchungu n.k. Hivyo nizoee tu chifu.
 
Last edited by a moderator:
Katavi Mbu na Wacha1 someni maneno yale vizuri haswa wewe Wacha1 makelele!

Arsenal FC siyo klabu ya Football Club, ni Financial Company!

Hivyo kushinda makombe siyo priority, bali kupata faida ya pesa.

Ndiyo maana nime-dare kusema hivyo; nikijua haitowezekana kwa aina ya wachezaji na mfumo uliopo Arsenal Financial Company.

Katavi nipo kila mahala, ndio maana naitwa Nzi. Nzi ukaa chooni, kwenye utamu, uchafu, ukakasi, uchungu n.k. Hivyo nizoee tu chifu.

Ok :suspicious:
 
Nzi wewe ni Arsenal unayejificha
Anyway Huku Arsenal ni kusafi hatuna uchafu Nzi hukaa chooni kwenye uchafu kama wewe ni Manu bora ubakie huko huko wala hatuna shida na wewe
Najuwa hapa unajitia kutupa lawama lakini leo Manu wakianza kutetereka hutokawia kubadilisha timu nyinyi ndio mashabiki maandazi
Katavi Mbu na Wacha1 someni maneno yale vizuri haswa wewe Wacha1 makelele!

Arsenal FC siyo klabu ya Football Club, ni Financial Company!

Hivyo kushinda makombe siyo priority, bali kupata faida ya pesa.

Ndiyo maana nime-dare kusema hivyo; nikijua haitowezekana kwa aina ya wachezaji na mfumo uliopo Arsenal Financial Company.

Katavi nipo kila mahala, ndio maana naitwa Nzi. Nzi ukaa chooni, kwenye utamu, uchafu, ukakasi, uchungu n.k. Hivyo nizoee tu chifu.
 
Last edited by a moderator:
......kha?!....,
Hataaa..., hatutaki, bakia huko huko Everton, arghh....Maniyuuu!!!

Hakuna mtu anayeweza kubadili mapenzi ya timu bwana unakuwa unajiumiza mwenyewe lakini ukweli unabakia pale pale angalia wapenzi wa Liverpool wamevumilia na sasa wameanza angalau vizuri na sidhani kama watakosa kuingia UEFA msimu huu



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Najiamini wakuu, ila kutokuwa na sriker wa ukweli kidogo kunanisumbua, sehemu nyingine sina waswasi, striker tuu...

Naona Liverpool wako hoi, kuwa unbeaten to several games its almost impossible, sijui kwanini hawampi sifa za kutosha AW....
 
Back
Top Bottom