Dakarai
JF-Expert Member
- Jan 17, 2023
- 700
- 1,312
Huoni kama unajitesa mkuu.Mimi msimu nishamaliza mechi zilizobakia hazinihusu
Arsenal kwa mechi alizobakiza kupoteza ni bahati mbaya.
Pili kwa mashabiki wa arsenal haitakuwa surprise kwetu maana wengi wetu tunajua boli na tunajua lolote linaweza tokea