Bukayo Saka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 270
- 411
Thubutuu. Yule utamuona kwenye tetesi za usajili za msimu ujao.Mpo wakuu??
Pameshapoa poa humu ndani?
Hamisi karudi?
Hivi wodi klass mnaichukuliaje aiseee, wedi klasi ni wakina kroos,kdb,salah,kane,....binafsi natambua wediklasi kama ubora dhahiri katka kuleta matokeo yenye tija pasipo kushindwa kuwa na udumifurice saka odegard hawa ni worldclass players walio baki hawawezi ingia squad ya Madrid wala city
CL sio mchezo ......sio makalio kabisaHivi wodi klass mnaichukuliaje aiseee, wedi klasi ni wakina kroos,kdb,salah,kane,....binafsi natambua wediklasi kama ubora dhahiri katka kuleta matokeo yenye tija pasipo kushindwa kuwa na udumifu
Pale asenali labda odegaard tu japo nae kuna kipindi alipoteana na arteta akawa anampumzisha,saka kuna umahiri anakosa labda n kwakuwa hapumzishwi na ilikuendelea kuyakuza makali yake.
Leo hii kikosi kimekosa mtu wa kuibeba timu mabegani kwenye nyakati nzito kutokana na uhalisia.
Hawa wahuni Wameamua kususia hiki kijiwe chaoNdugu zetu Arsenyau leo mpo uwanjani mnakipiga na Wolves halafu mnajifanya mmesusa kama vile hamna habari.
Kama hamtaki kutuletea prediction na kutuchambulia kosi la leo basi tuchambulieni hata mchicha
Masingeli tells us Kai Havertz has some similarities with RVP.
Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwez kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz.
#Wazee wa kudominate league miaka 10+ consecutively tayari pumzi imekata View attachment 2969260
Wamepungua ila wapo mkuukwani kuna mshika bunduki anayemponda mkuu
nimegundua wanaomponda,wakilia artetaout ni timu zingine
Mambo ya kurudi juu kileleni ndiyo haya sasaNdugu zetu Arsenyau leo mpo uwanjani mnakipiga na Wolves halafu mnajifanya mmesusa kama vile hamna habari.
Kama hamtaki kutuletea prediction na kutuchambulia kosi la leo basi tuchambulieni hata mchicha
Masingeli tells us Kai Havertz has some similarities with RVP.
Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwez kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz.
#Wazee wa kudominate league miaka 10+ consecutively tayari pumzi imekata View attachment 2969260