Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo kuna kila dalili Rice akatoa Maboko. Na washauri mjiandae kisaikolojia
Karibu sana saa nane na nusu pale Imarqte tuqngalie kabumbu....sisi tushafika hapa uwanjani tumetandika mkeka tunaangalia mikimbio ya Bournemouth kuona namna tutakavyopambana nao🤠🤠
 
20240504_134948.jpg
 
Labda amewachoka wachawa akina Flano na chawa wake akina mkohoti wanavyomsagia kunguni daily, tushinde tusishinde.

Ila raha tuliyonayo sasa ni miaka 3 nyuma tulikuwa tunapambania kuingia michuano ya Ulaya ila sasa ni kupambania kombe. Kwa watesi wetu sasa sisi kufeli ni kukosa ubingwa wakati kwao kufeli ni kushindwa kuingia top 4. Hamisi anawapigaga sana spana za hivi ndiyo maana ameona awalegezee kamba kidogo. Ila ole wao Mamacita ateleze (nigh impossible) tubebe kikombe,

Kikosi kinaleta matumaini. Hopes Raya learnt a lesson, hatutaona mizaha yake
 
Kweli Arteta anautaka huu ubingwa.

kuna game zilituharibia sana, kwa fomu tulokuwa nayo tulipaswa siku kama ya leo kukamilisha safari ya kuwa mabingwa.
Mimi naona kama kufungwa mechi 5 kwa msimu inamaana hatustahili ubingwa (City kafungwa mara 3 tu na Liverpool mara 4). Sasa kazi ni kuonyesha tu kwamba tumerekebisha makosa.
 
Huyu jamaa mpaka avunje mtu ndiyo apewe kadi?
Fabio Vieira received a straight red for almost exactly the same challenge against Burnley earlier this year. There’s just no consistency with these decisions, but given the technology available that is inexcusable.
 
Back
Top Bottom