Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtu anakuambia mwaka huu ni lazima tuchukue UEFA ukimuuliza nitajie wachezaji wako wakukusaidia kulibeba anakutajia
Ben white Odegard Kai Havetz

BEN WHITEE ODERGAD KAI HAVERZ REALLY....??? MBELE YA WAKINA MODRIC KDB CARVAJAL WALKER KIMMCHI

Kama sio uteja huu au uwendawazimu ni kitu gani

Poor Arsenal
Cite itabeba uefa kaka, mbona uzi wenu mnamuachia pain kila wengine mnajaa humu?
 
Wanangu mnamaliza phase4 mikono mitupu, kweli nimeamini phasé 5 ndio phase ya makombe
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Mateka makombe yenu yatakua ni pressing na overloading tu.


#Poor Arsenyo
Hyu hyu atatupa kombe🤠🤠....wacha tuone tutashikilia Bomba hadi lini
 
Ni Mimi tu au?Nilikuwa nacheki hii game kama vile nacheki Girona vs Cadiz. Not excited at all. Duuuh!!!Nimekata tamaa kabisa

Hakuna hisia kabisa, wakati tunawakosakosa, wanatukosakosa, tunawafunga. I was like "eeeeeh" kama Huey Freeman during interview with Herzog, if you know what I mean
 
Hyu hyu atatupa kombe....wacha tuone tutashikilia Bomba hadi lini
Kwa foward ya kina Sakatonge, Matembele, Chai Kiazi na Alkasus ndio mnatarajia mje kubeba kombe?
Tafuteni kwanza Kocha wa kueleweka ndio muanze kufikiria kuhusu makombe, kwa huyo Mateka nawahakikishia mtafika mpaka phase 10 bila ya kubeba kombe lolote la maana.
Miaka yote furaha yenu itakua ni mwanzo wa ligi tu ila ligi ikishafika ukingoni mtakua mnakutukanana tu wenyewe kwa wenyewe humu na wengine wanakimbia jukwaa
 
Ni Mimi tu au?Nilikuwa nacheki hii game kama vile nacheki Girona vs Cadiz. Not excited at all. Duuuh!!!Nimekata tamaa kabisa

Hakuna hisia kabisa, wakati tunawakosakosa, wanatukosakosa, tunawafunga. I was like "eeeeeh" kama Huey Freeman during interview with Herzog, if you know what I mean
Vijana wamechoka, Arteta ni kama jini kausha damu anaendelea kuwanyonya mpaka waseme
 
Kwa foward ya kina Sakatonge, Matembele, Chai Kiazi na Alkasus ndio mnatarajia mje kubeba kombe?
Tafuteni kwanza Kocha wa kueleweka ndio muanze kufikiria kuhusu makombe, kwa huyo Mateka nawahakikishia mtafika mpaka phase 10 bila ya kubeba kombe lolote la maana.
Miaka yote furaha yenu itakua ni mwanzo wa ligi tu ila ligi ikishafika ukingoni mtakua mnakutukanana tu wenyewe kwa wenyewe humu na wengine wanakimbia jukwaa
Sawa mkuu chonga ngenga....sisi hyuhyu anatutosha🤠🤠...Bayern wametutoa kwa ajili ya uzoefu wao tu...leo tumeshinda...wacha tuone na ndugu zetu Livakuku kesho watafanya nn
 
Frontline ya Jesus Trossard Saka Havertz imefeli ila Arteta ataendeleza majaribio kwenye gem ijayo pia
 
Back
Top Bottom