Ngoja niendelee kushabikia utopolo tuKwisha habari yetu
πππUmetoka Uefa sasaCheli kalio na mwani tesa mtulie
View attachment 2966826
ππππππNgoja niendelee kushabikia utopolo tu
Simba tunamgonga 5 bila tenaNgoja niendelee kushabikia utopolo tu
Experience ni changamoto.
As of now kila tukicheza na timu za kariba hii dawa ni haram football.
Hatuwezi kwenda mbali kwa jinsi tunavyo tengeneza attacks. Lazima tuwe na option zaidi ya mojaMambo kadhaa ya kurekebisha ila game haikuwa mbaya.
Poleni gunners ila tuwe na matumaini Arteta atarekebisha mambo machache
Usicheke sana bana, mwenzako sichelewagi kulia π₯ππππππ
Nilambe block na hapa KENGE wewe.Mimi sina hamu nilipata homa kali kila aliyekuwa ananicheka nilimlamba block πππ
Ni kama hatupractice shooting kabisa piaHatuwezi kwenda mbali kwa jinsi tunavyo tengeneza attacks. Lazima tuwe na option zaidi ya moja
Shindwaa.!!All EPL teams could be out today
Unajua yan sielewag timu yngu tunakujaga kufeli wapi aloo acha kabisa naumia mpaka inabidi nicheke tuUsicheke sana bana, mwenzako sichelewagi kulia π₯