Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Mkuu point Ni ile Ile pesa lazima itumike ..Kama hicho ndicho ulichokipata hapo, basi tena 😀
Najua unasema lazima club itafute wachezaji local ambao hawajanunuliwa Kwa pesa nyingi (natural talents) ,wacheze vizuri ,wapate makombe mengi ,wacheze mpira WA kuvutia ,wapate wafuasi wengi Duniani , Ndio wapate sponsorship ya kuwa inawapa pesa nyingi,ndio wapate mishahara Mingi .........huku sababu ikiwa kuwa Hao ndio wanafuata Sheria za mpira Kwa sababu hawajatumia pesa wametengeneza vipaji wenyewe ........huu ndio ulikuwa mpira WA zamani 1990 huko unaousemea ...ambao mashabiki mpaka sasa ndio wanaotaka ...wakiona unanunua talent wanaona kama wewe sio kocha ....
Sasa sikia nikwambia huo mfumo WA kinyonyaji WA kuwafurahisha mashabiki,huku wachezaji wakiwa masikin ndio hauwezi kuona 2024 ....huo Ni upumbavu WA kizaman ndio maana wachezaji wastafu wote WA zaman Ni masikin ........
Kiufupi Hakuna mchezaji anayecheza kutafuta sifa Kwa mashabiki kama zamani , nowadays it's all about money ....
Weka pesa mezani ,nunua mchezaji ,mpe mshahara mnono na bonus ,ndio anacheza mpira mzuri WA kuvutia na kuleta makombe ...kama huna hizo pesa ....tulia wenye nazo watumie ....
