Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 16,103
- 39,229
Mashetani yalikuwa ICU yakashangaa The blues wamefufuka kutoka Mortuary 🤣🤣🤣🤣Mashetani hawana maajabu, wepesi sana, wale ni coastal union iliyochangamka.
Mashetani yalikuwa ICU yakashangaa The blues wamefufuka kutoka Mortuary 🤣🤣🤣🤣Mashetani hawana maajabu, wepesi sana, wale ni coastal union iliyochangamka.
Nyny malofa kesho jazaneni golini mpira usiingie...draw tu inatosha...hayo mengine tuachieni sisi🤠🤠...habari za hamsa zitarudi weekend ijayo...maana leo tulikutana na bingwa wa kufanya build up kutoka nyuma ila tumemuonesha tunaweza kucheza mpira wwte...Di Zerbi leo atalala anaweweseka kima yuleSisi Manyumbu hatujafurahishwa hata kidogo kumuona Tembo karudi juu ya mti, kama jumatano tulivyomsaidia Kenge kuingia kwenye top 10 basi na kesho pia tumeazimia kumrudisha Punda on the top of tableView attachment 2955839
Timu ni yetu hivyo msitupangie cha kufanya, sisi kama mashabiki wa United furaha yetu kesho ni kumuona liverpunda anaongoza ligi.Nyny malofa kesho jazaneni golini mpira usiingie...draw tu inatosha...hayo mengine tuachieni sisi...habari za hamsa zitarudi weekend ijayo...maana leo tulikutana na bingwa wa kufanya build up kutoka nyuma ila tumemuonesha tunaweza kucheza mpira wwte...Di Zerbi leo atalala anaweweseka kima yule
Against Luton town juzi ulicheki gemu?Sielewi kwanini Arteta hampi game time Nelson...
Kijana ananikumbusha enzi zangu, hamna kitu nilikua napenda kama kukabaBog gabi ananikosha sana kusema ukweli ana mzuka wa hatari
Tafuta Chaka lingine, Brighton ameshapigwa packet nzimaMkorea sio vizuri kubadili maandiko,
Maandiko yanasema:
Binadamu wote wanazaliwa wakiwa United, baada ya hapo ndio wanahamia timu nyingine kutokana na shida mbalimbali zilizopo katika vichwa vyao.
Friends of Brighton tayari tumeshatia kambi humu, huku tukiwakumbusha kua kesho Liverpool anaenda kuweka gape la points 6 baina yake na Arsenyau.
Tuna kijana wetu anaitwa Danny Welbeck kasema leo hatatuangusha, ameahidi leo bora wachezaji wote 11 wa Brighton wafie uwanjani lakini sio kufungwa na timu mbovu kama Arsenyo na kuendeleza false hopes. View attachment 2955530
alafuTafuta Chaka lingine, Brighton ameshapigwa packet nzima
Tunawakumbusha tu jmni mna gemu na sisi bado...hii Brighton msione ni wabovu ila wamekutana na makofi ya macho...Sasa nyny ambao hamna formation Wala tactics sijui mtakula ngapi...nawaonea hurumaTimu ni yetu hivyo msitupangie cha kufanya, sisi kama mashabiki wa United furaha yetu kesho ni kumuona liverpunda anaongoza ligi.
Imekuwa mwisho wa msimu na siyo mechi kwa mechi tena?Hakuna kitu inaninyima amani kama kuwaona mashabiki wa Arsenyau wakiwa na furaha, starehe yangu kubwa ni kuyaona maArsenyau yana hasira na huzuni humu kila inapofika mwisho wa msimu
Brighton nawakubali sana. Wanamix vizuri team play na individuality. Uliona mabeki na viungo vyao walivyokuwa wanaturn na kuacha viungo wetu kwenye mataa. Hawa wakikutana na manyumbu wanawapiga kono la nyani.Hawa Manunu najaribu kufikiria siku wakikutana na Brighton sijui watafanywaje....maana wanajenga mashambulizi vzuri sana ila leo Sasa wamekutana na kitu kizito....De Zerbi leo atalala anaweweseka kwakwli
Lamba lamba jivu, utibu hiko kiunguliaHakuna kitu inaninyima amani kama kuwaona mashabiki wa Arsenyau wakiwa na furaha, starehe yangu kubwa ni kuyaona maArsenyau yana hasira na huzuni humu kila inapofika mwisho wa msimu
Kwa mfano Mimi ukiniuliza timu Gani naichukua kuliko zote nitakwambia Man U.Mkuu Castr unachosema ni kweli haswa ila ni kwa hukohuko kwao Uingereza.
Ila kibongo bongo mashabiki wa Man Utd na Arsenal ni wengi kuliko mashabiki wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Nenda kwenye kibanda umiza fanya research utagundua mashabiki wa Liverpool hawafiki hata nusu ya mashabiki wa Arsenal na Mashabiki wa City hawafiki hata robo ya mashabiki wa Arsenal.
Wingi wa mashabiki ndio unaoleta uhasimu katika mazingira husika.
Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu wowote kati ya Arsenal na Spurs sababu hapa kwetu mashabiki wa Spurs ni wa kuhesabu, hata uhasimu wa Arsenal na Chelsea hapa kwetu sio mkubwa ki vile kwa sababu hapa Bongo mashabiki wengi wameanza kuijua na kuishangilia Chelsea baada ya Chelsea kununuliwa na Abramovich.
Hivyo ni sahihi kibongo kuona uhasimu mkubwa zaidi kati ya Arsenal na Man Utd hata kama uhasimu huo sio mkubwa kivile kwa huko kwao Uingereza.
Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu kati ya Barcelona vs Espanyol, Real Madrid v Atletico Madrid, Bayern Munich vs Dortmund, Psg vs Marseille, Napoli vs Roma, Juventus vs Torino.
Washinde kesho ila zingine zte zilizobaki balaa liwakute🤠🤠...Ubaya Ubaya tuKwa mfano Mimi ukiniuliza timu Gani naichukua kuliko zote nitakwambia Man U.
Lakini siku hizi nawaombea mazuri, kama game yenu ya kesho na Liver nawaombea mshinde.
Lakini nashangaa bado Manyumbu hawatupendi
999 chatta acha kuudanganya umma, hapa duniani hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa wadangaji, ukiliona lidangaji linajifanya linakupenda sana tambua tu kua linataka kukuchunaKwa mfano Mimi ukiniuliza timu Gani naichukua kuliko zote nitakwambia Man U.
Lakini siku hizi nawaombea mazuri, kama game yenu ya kesho na Liver nawaombea mshinde.
Lakini nashangaa bado Manyumbu hawatupendi
Kesho msiachie kwa wepesi sasa...sio mnatongozwa tu kidogo na Livakuku halafu mnaachia kabisa...999 chatta acha kuudanganya umma, hapa duniani hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa wadangaji, ukiliona lidangaji linajifanya linakupenda sana tambua tu kua linataka kukuchuna
Sisi mashabiki wa Unyumbuni tayari tumeshasema kesho Liverpunda on the top of table.
Ni fedheha kubwa sana kwa ligi kuu ya Uingereza kuongozwa na Arsenyau katika mechi za mwisho za msimu.
Hawa sijui saa zingine wanakuwaje kwa Livakuku. Ni wale wakiangaliwa machoni kidogo wanaangalia chini na kung'ata kucha au kufunika nyuso. Wakishikwa mkono kidogo tu, kwisha habari yao.Kesho msiachie kwa wepesi sasa...sio mnatongozwa tu kidogo na Livakuku halafu mnaachia kabisa...
Kesho ni siku yetu ya kuwalipa fadhila Livapuli kwa ule wema wao wa kutuachia twende nusu fainali kama sio fainali kabisa ya michuano ya FA.Kesho msiachie kwa wepesi sasa...sio mnatongozwa tu kidogo na Livakuku halafu mnaachia kabisa...
kwa hiyo mtawaachia wawapige angalau kono la nyani ili watukimbize kwenye GD?Kesho ni siku yetu ya kuwalipa fadhila Livapuli kwa ule wema wao wa kutuachia twende nusu fainali kama sio fainali kabisa ya michuano ya FA.