Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkorea sio vizuri kubadili maandiko,
Maandiko yanasema:
Binadamu wote wanazaliwa wakiwa United, baada ya hapo ndio wanahamia timu nyingine kutokana na shida mbalimbali zilizopo katika vichwa vyao.

Friends of Brighton tayari tumeshatia kambi humu, huku tukiwakumbusha kua kesho Liverpool anaenda kuweka gape la points 6 baina yake na Arsenyau.
Tuna kijana wetu anaitwa Danny Welbeck kasema leo hatatuangusha, ameahidi leo bora wachezaji wote 11 wa Brighton wafie uwanjani lakini sio kufungwa na timu mbovu kama Arsenyo na kuendeleza false hopes. View attachment 2955530
Tafuta Chaka lingine, Brighton ameshapigwa packet nzima
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna kitu inaninyima amani kama kuwaona mashabiki wa Arsenyau wakiwa na furaha, starehe yangu kubwa ni kuyaona maArsenyau yana hasira na huzuni humu kila inapofika mwisho wa msimu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Timu ni yetu hivyo msitupangie cha kufanya, sisi kama mashabiki wa United furaha yetu kesho ni kumuona liverpunda anaongoza ligi.
Tunawakumbusha tu jmni mna gemu na sisi bado...hii Brighton msione ni wabovu ila wamekutana na makofi ya macho...Sasa nyny ambao hamna formation Wala tactics sijui mtakula ngapi...nawaonea huruma
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna kitu inaninyima amani kama kuwaona mashabiki wa Arsenyau wakiwa na furaha, starehe yangu kubwa ni kuyaona maArsenyau yana hasira na huzuni humu kila inapofika mwisho wa msimu[emoji16][emoji16][emoji16]
Imekuwa mwisho wa msimu na siyo mechi kwa mechi tena?
 
Hawa Manunu najaribu kufikiria siku wakikutana na Brighton sijui watafanywaje....maana wanajenga mashambulizi vzuri sana ila leo Sasa wamekutana na kitu kizito....De Zerbi leo atalala anaweweseka kwakwli
Brighton nawakubali sana. Wanamix vizuri team play na individuality. Uliona mabeki na viungo vyao walivyokuwa wanaturn na kuacha viungo wetu kwenye mataa. Hawa wakikutana na manyumbu wanawapiga kono la nyani.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Mkuu Castr unachosema ni kweli haswa ila ni kwa hukohuko kwao Uingereza.
Ila kibongo bongo mashabiki wa Man Utd na Arsenal ni wengi kuliko mashabiki wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.

Nenda kwenye kibanda umiza fanya research utagundua mashabiki wa Liverpool hawafiki hata nusu ya mashabiki wa Arsenal na Mashabiki wa City hawafiki hata robo ya mashabiki wa Arsenal.

Wingi wa mashabiki ndio unaoleta uhasimu katika mazingira husika.

Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu wowote kati ya Arsenal na Spurs sababu hapa kwetu mashabiki wa Spurs ni wa kuhesabu, hata uhasimu wa Arsenal na Chelsea hapa kwetu sio mkubwa ki vile kwa sababu hapa Bongo mashabiki wengi wameanza kuijua na kuishangilia Chelsea baada ya Chelsea kununuliwa na Abramovich.

Hivyo ni sahihi kibongo kuona uhasimu mkubwa zaidi kati ya Arsenal na Man Utd hata kama uhasimu huo sio mkubwa kivile kwa huko kwao Uingereza.

Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu kati ya Barcelona vs Espanyol, Real Madrid v Atletico Madrid, Bayern Munich vs Dortmund, Psg vs Marseille, Napoli vs Roma, Juventus vs Torino.
Kwa mfano Mimi ukiniuliza timu Gani naichukua kuliko zote nitakwambia Man U.

Lakini siku hizi nawaombea mazuri, kama game yenu ya kesho na Liver nawaombea mshinde.

Lakini nashangaa bado Manyumbu hawatupendi
 
Kwa mfano Mimi ukiniuliza timu Gani naichukua kuliko zote nitakwambia Man U.

Lakini siku hizi nawaombea mazuri, kama game yenu ya kesho na Liver nawaombea mshinde.

Lakini nashangaa bado Manyumbu hawatupendi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] 999 chatta acha kuudanganya umma, hapa duniani hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa wadangaji, ukiliona lidangaji linajifanya linakupenda sana tambua tu kua linataka kukuchuna[emoji16][emoji16][emoji16]
Sisi mashabiki wa Unyumbuni tayari tumeshasema kesho Liverpunda atakua on the top of table.
Ni fedheha kubwa sana kwa ligi kuu ya Uingereza kuongozwa na katimu kama kaArsenyau katika mechi za mwisho za ligi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] 999 chatta acha kuudanganya umma, hapa duniani hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa wadangaji, ukiliona lidangaji linajifanya linakupenda sana tambua tu kua linataka kukuchuna[emoji16][emoji16][emoji16]
Sisi mashabiki wa Unyumbuni tayari tumeshasema kesho Liverpunda on the top of table.
Ni fedheha kubwa sana kwa ligi kuu ya Uingereza kuongozwa na Arsenyau katika mechi za mwisho za msimu.
Kesho msiachie kwa wepesi sasa...sio mnatongozwa tu kidogo na Livakuku halafu mnaachia kabisa...
 
Kesho msiachie kwa wepesi sasa...sio mnatongozwa tu kidogo na Livakuku halafu mnaachia kabisa...
Hawa sijui saa zingine wanakuwaje kwa Livakuku. Ni wale wakiangaliwa machoni kidogo wanaangalia chini na kung'ata kucha au kufunika nyuso. Wakishikwa mkono kidogo tu, kwisha habari yao.

Ila naona kesho wanaweza kujitahidi kupambana ingawa hakika kabisa watapigwa, tena kirahisi tu.
 
Kesho msiachie kwa wepesi sasa...sio mnatongozwa tu kidogo na Livakuku halafu mnaachia kabisa...
Kesho ni siku yetu ya kuwalipa fadhila Livapuli kwa ule wema wao wa kutuachia twende nusu fainali kama sio fainali kabisa ya michuano ya FA.
 
Kesho ni siku yetu ya kuwalipa fadhila Livapuli kwa ule wema wao wa kutuachia twende nusu fainali kama sio fainali kabisa ya michuano ya FA.
kwa hiyo mtawaachia wawapige angalau kono la nyani ili watukimbize kwenye GD?
 
Kai Havertz last 7 games:

[emoji460]️
[emoji460]️[emoji2402]
[emoji460]️[emoji2402]
[emoji460]️
[emoji777]
[emoji2402]
[emoji460]️[emoji2402]

Driving Arsenal towards the title.

“Havertz was a bad signing” they said it with such chest as well [emoji1782][emoji1782][emoji1782]
 
kwa hiyo mtawaachia wawapige angalau kono la nyani ili watukimbize kwenye GD?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio tu kono la nyani, ikiwezekana watupe tena 7up nyingine kama ile tulioikunywa msimu ulioisha.
 
Kai Havertz's game by numbers vs. Brighton [RANK]:

100% tackles won [[emoji1628]]
4 chances created [[emoji1628]]
2 big chances created [[emoji1628]]
2 shots [[emoji1626]]
1 assist [[emoji1628]]
1 goal [[emoji1628]]

MOTM. [emoji146][emoji146][emoji146]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom