Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,988
Tupo mkuu,There is nothing more than to stand positiveDie hard Arsenal fans how are you guys?it is not normal for us to stay quiet like this eheeee
Wanangu arse8 juzi kati walishinda na wao wakajipa matumaini ya kuwa mabingwa.
We unashangaa nini! mbona tushaongea sana udhaifu wa Leno kwenye system ya Arteta, we jamaa mpira huwa hujui ajabu na kujifunza hutaki. ahahahahaahMhhhh Leno kawa second choice goalkeeper Arteta will give his fans heart attack
We unashangaa nini! mbona tushaongea sana udhaifu wa Leno kwenye system ya Arteta, we jamaa mpira huwa hujui ajabu na kujifunza hutaki. ahahahahaah
Na kuna taarifa za leno kuuzwa akaja GK mwingine next season.
I wish you the best kwenye match ya leoWe unashangaa nini! mbona tushaongea sana udhaifu wa Leno kwenye system ya Arteta, we jamaa mpira huwa hujui ajabu na kujifunza hutaki. ahahahahaah
Na kuna taarifa za leno kuuzwa akaja GK mwingine next season.
ni haki yake mbonaMhhhh Leno kawa second choice goalkeeper Arteta will give his fans heart attack
Aliomba kupumzika mechi mbili. Hii ya pili.Mhhhh Leno kawa second choice goalkeeper Arteta will give his fans heart attack