Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Hamia PSG mkuu isiwe kesi haahahahaTimu haina kocha acheni upuzi.We Arsenal gani hata pasi tano tu hawawezi piga?.
Hamia PSG mkuu isiwe kesi haahahahaTimu haina kocha acheni upuzi.We Arsenal gani hata pasi tano tu hawawezi piga?.
unamlilia nani?Nawasalimu wana Arsenal wenzangu!
Kwa mara ya kwanza jana nimeiangalia timu hii ikicheza tangu nilipoacha misimu miwili iliyopita.Kwa hakika machozi yamenitoka!Arsenal niliyoipenda sana kwa aina yake ya uchezaji,masikini jana nimehisi kama sitaiona tena.
Ipo wapi Arsenal iliyokuwa inapiga pasi 10 hadi 20 mbele ya Manchester United? Ipo wapi Arsenal iliyokuwa inazilazimisha timu kubwa kupaki basi kwa kuihofia?Ipo wapi Arsenal iliyokuwa inafunga magoli ya mipango toka nyuma mpaka goli?.
Arteta ameharibu kabisa falsafa ya uchezaji wa Arsenal.Vijana hata pasi 5 tu hawawezi cheza!
Arsene Wenger upo wapi uioneshe Arsenal mrithi wako sahii?Leo Arsenal niyakucheza mpira kama wa Chelsea ya Morinyo kweli!
Hapana Arteta angepisha tu.
Una feel aje pale wimbo wa champions league unavyoanza wakati wachezaji wanaingia uwanjani?ni full msisimko mkuuHamia PSG mkuu isiwe kesi haahahaha
Kweli mkuu hahahaahUna feel aje pale wimbo wa champions league unavyoanza wakati wachezaji wanaingia uwanjani?ni full msisimko mkuu
Champions League nao wameona wa-unfollow kabisa Arsenal yenyeweBig teams zinapishana angani kwenda kuplay match za ulaya (champions league, europa hata Europe Conference)but kwa mshangao Arsenal haipo na die hard fans wakasema wanajipanga kwa ajili ya this season kuingia Top 4 na maajabu Arsenal got 3 points in 4 Matches na hata dream ya kuingia top 10 haipo na hili die hard fans I am telling you guys Arsenal imeshuka class yake vibaya sana,ukienda groups za wenzetu wanaongelea mashindano ya ulaya imagine leo Arsenal haiongelei habari za michuano ya ulaya?seriously?ohhhh my God
Eeheeeeeeee maweeeeeeeee







unateseka sanaBig teams zinapishana angani kwenda kuplay match za ulaya (champions league, europa hata Europe Conference)but kwa mshangao Arsenal haipo na die hard fans wakasema wanajipanga kwa ajili ya this season kuingia Top 4 na maajabu Arsenal got 3 points in 4 Matches na hata dream ya kuingia top 10 haipo na hili die hard fans I am telling you guys Arsenal imeshuka class yake vibaya sana,ukienda groups za wenzetu wanaongelea mashindano ya ulaya imagine leo Arsenal haiongelei habari za michuano ya ulaya?seriously?ohhhh my God
Mbona unahaingaika na huku mbako sio big team so uende kwenye timu ambayo ni big au huna watu wa kupiga nao story?Big teams zinapishana angani kwenda kuplay match za ulaya (champions league, europa hata Europe Conference)but kwa mshangao Arsenal haipo na die hard fans wakasema wanajipanga kwa ajili ya this season kuingia Top 4 na maajabu Arsenal got 3 points in 4 Matches na hata dream ya kuingia top 10 haipo na hili die hard fans I am telling you guys Arsenal imeshuka class yake vibaya sana,ukienda groups za wenzetu wanaongelea mashindano ya ulaya imagine leo Arsenal haiongelei habari za michuano ya ulaya?seriously?ohhhh my God
Wapeni break jamani mtawauwa






































































































































kosi la dunia 1 Yanga 2 ueropa imakuitaWakubwa wazima mnafungwa na YangaNAONA LIGI ILISIMAMA MKAANZA KUNENEPA
R..O..N..A..L..D..O..O.OOOOOOOOView attachment 1933495
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unajitesa bure ndugu yangu. Yanga kakubamanda makonde left and right umeishia kumuita Ole msenge na matusi ya kushiba.
Next match si ndiyo hii mmecheza na Young Boys? Ulivyo na roho mbaya haujaleta matokeoTunaomba radhi kwa ushindi huu mwembamba..next match tutawafurahisha zaidi.View attachment 1933677
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app