Leno huyu huyu?We unashangaa nini! mbona tushaongea sana udhaifu wa Leno kwenye system ya Arteta, we jamaa mpira huwa hujui ajabu na kujifunza hutaki. ahahahahaah
Na kuna taarifa za leno kuuzwa akaja GK mwingine next season.
Leno huyu huyu?We unashangaa nini! mbona tushaongea sana udhaifu wa Leno kwenye system ya Arteta, we jamaa mpira huwa hujui ajabu na kujifunza hutaki. ahahahahaah
Na kuna taarifa za leno kuuzwa akaja GK mwingine next season.
Tulia we chapatiGari limewaka au bado plug zinasumbua?
PSG utaifananisha na Arsenal?acha masihara huku nakuja kuwafariji die hard fansAliomba kupumzika mechi mbili. Hii ya pili.
Uzi wa psg haujui ulipo?
Ila wazee wachezaji wa arsenal wamelegea mnooo
Nigga you can't fake it. Huji kufariji, unakuja kujaribu kua mwanafamiliaPSG utaifananisha na Arsenal?acha masihara huku nakuja kuwafariji die hard fans
Nacheza na Lyon kesho leo I am free Nigga don't worry NiggaNigga you can't fake it. Huji kufariji, unakuja kujaribu kua mwanafamilia