




FT. 2-1tukueleweje sasa mwanzo ulsema kosi la dunia mwisho wa siku ukaanza kutaja viungo


























































mmesahau kua kijora ni dira lile lile tofaut ni jina2Hiki ndio kikosi cha dunia kinafungwa na Young boys
Mchezaji wa zamani wa Arsenal Jack Wilshere hataki makubaliano ya kulipwa kwa mechi atakazoshiriki katika uwanja wa Emirates baada ya mkufunzi Mikel Arteta kumruhusu kushiriki mazoezi katika uwanja wa timu hiyo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameichezea England mara 34 lakini amekosa klabu tangu alipoondoka Bournemouth mapema mwaka huu..
Mchezaji wa zamani wa Arsenal Jack Wilshere hataki makubaliano ya kulipwa kwa mechi atakazoshiriki katika uwanja wa Emirates baada ya mkufunzi Mikel Arteta kumruhusu kushiriki mazoezi katika uwanja wa timu hiyo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameichezea England mara 34 lakini amekosa klabu tangu alipoondoka Bournemouth mapema mwaka huu..
Rudia tenaSijaelewa ulicho andika
Hii timu ya mafirwauni ni wapuuzi sana, wameshindwa kuzitafuta uwanjani wameenda kuziiba nyumbani.Arsenal naona mmekwenda kuiba medali za Chelsea 😁😁
We unasema Europa hata europa federation cup hawapo.Oya wanangu wa Arsenal samahani sana, niliandika hii comment nikijua leo mnacheza europa. Sasa nyie mnacheza ligi gani.?Au mnasubiri carabao.?
Kabisa na hii inawasaidia sanaUzuri wa wanangu wa Arsenal hawana ugonjwa wa moyo