Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu kiaje?

Naona Arteta anakaribia kuwa na kikosi kamili nilichokitabiri hapa cha first XI.

Ila Thomas Partey anaanzia bench.

Team news Arsenal dhidi ya Norwich

Arsenal XI: Kipa Ramsdale, beki wa kulia ni Tomiyasu, kushoto ni Tierney, beki namba nne White na mkoba ni Gabriel, Wachezaji wapembeni ni kushoto Saka na kulia Nicolas pepe.

Wachezaji wa kiungo n Maitland-Niles kiungo mkabaji, kiungo wa kati Sambi Lokonga na kiungo mshambuliaji Martin Odegaard na mshambuliaji wa kati ni Aubameyang.

Arsenal first XI

Arsenal XI: Ramsdale, Tierney, White, Gabriel, Saka, Odegaard, Aubameyang1, Maitland-Niles, Tomiyasu, Pepe, Lokonga
 
Wakuu kiaje?

Naona Arteta anakaribia kuwa na kikosi kamili nilichokitabiri hapa cha first XI.

Ila Thomas Partey anaanzia bench.

Team news Arsenal dhidi ya Norwich

Arsenal XI: Kipa Ramsdale, beki wa kulia ni Tomiyasu, kushoto ni Tierney, beki namba nne White na mkoba ni Gabriel, Wachezaji wapembeni ni kushoto Saka na kulia Nicolas pepe.

Wachezaji wa kiungo n Maitland-Niles kiungo mkabaji, kiungo wa kati Sambi Lokonga na kiungo mshambuliaji Martin Odegaard na mshambuliaji wa kati ni Aubameyang.

Arsenal first XI

Arsenal XI: Ramsdale, Tierney, White, Gabriel, Saka, Odegaard, Aubameyang1, Maitland-Niles, Tomiyasu, Pepe, Lokonga
Tunatamba sana ila sioni mwanga mwema mbeleni, yani full kiza
 
Back
Top Bottom