Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuliachiwa wiki moja ya kurudisha kidogo miili yetu naona machi za kimataifa zimeisha, haya ngojea tuisikilizie weekend hii nayo itakuwaje kupitia livescore.
 
Sasa ndio tunaenda kuanza ligi

Chelsea kipigo heavy is coming

Man u, points six net, nachukua

Wapuuzi ambao mmepiga sana kelele humu
IMG-20210908-WA0007.jpg
 
Nyie wanangu sana arse8 wazee wa kutifuana mitaro. Kwenye hiyo sekta muko njema sana mpaka tunahisi hadi ma fans na ninyi mule mule kwenye mitifuano mupo. Au nasema uwongo ndugu zangu????
 
Nyie wanangu sana arse8 wazee wa kutifuana mitaro. Kwenye hiyo sekta muko njema sana mpaka tunahisi hadi ma fans na ninyi mule mule kwenye mitifuano mupo. Au nasema uwongo ndugu zangu????
Tuko pamoja na wew buraza kaka

Acha shit hat nusu mjafika kwa arsenal
 
Mkuu tunawapa mawazo mapya unajua mkijichanganya na sisi washindi pengine tutawaambukiza winning spirit......joking mkuu
Pamoja sana mze! utani kwenye mpira kawaida kabisa..ila tatizo ni kuleta masuala ya matusi kwenye huu uzi wetu wa Arsenal..ha haha! Alafu mmeamua kuungana na nyumbu kabisa dah!
 
Msimu sitashagaa mtu akipasuka 7 kutoka kwa arsenal

Tumedhihakiwa sana

Norwich huyu anaweza kupasuka ata 5

Man u nakunyosha nje ndani, points 6 nachukua

Chelsea round ya pili nakukaza 3, mdogo wangu tangu mvunje ungo mmekua na mdomo sana.
 
Msimu sitashagaa mtu akipasuka 7 kutoka kwa arsenal

Tumedhihakiwa sana

Norwich huyu anaweza kupasuka ata 5

Man u nakunyosha nje ndani, points 6 nachukua

Chelsea round ya pili nakukaza 3, mdogo wangu tangu mvunje ungo mmekua na mdomo sana.
Msimu huu mwendo wa kuhesabu makuti wakati wenzenu wanahesabu nazi.
 
Msimu sitashagaa mtu akipasuka 7 kutoka kwa arsenal

Tumedhihakiwa sana

Norwich huyu anaweza kupasuka ata 5

Man u nakunyosha nje ndani, points 6 nachukua

Chelsea round ya pili nakukaza 3, mdogo wangu tangu mvunje ungo mmekua na mdomo sana.
Unaongea sana that's why Arsenal haipati matokeo huyo Norwich unafikiri ni Mjinga sana let's wait and see
 
Taadhali Epl is back after international break !ndg zangu wa Arsenal tulikuwa na amani kabisa ,lakini kurudi kwa EPL amani itatoweka ,na nipoangalia game ya Leicester na Norwich ninayo imani Mbuzi (asernal )atatumika kwenye biriani.London is Blue
 
Nimesoma kichwa cha habari sehemu, arteta anasema milango iko wazi kwa Jack

Huyu dogo, alikuwa na kipaji cha kusumbua dunia, majeruhi naona limmekuwa tatizo kubwa, sijui kama kuna jambo nyuma ya pazia.
 
Nimesoma kichwa cha habari sehemu, arteta anasema milango iko wazi kwa Jack

Huyu dogo, alikuwa na kipaji cha kusumbua dunia, majeruhi naona limmekuwa tatizo kubwa, sijui kama kuna jambo nyuma ya pazia.
Kampa nafasi ya kufanya tu mazoezi na Team... Maana jamaa kwa sasa ana Team!
 
Back
Top Bottom