Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2505531_JamiiForums1968771885.jpg
 
Arsenal win hand cap

Nimeamua kugawa deal la pesa halali za kitanzania
 
Hali halisi ni kwamba Arsenal haina worthy players.

Edu amekiri hilo.

Mchezaji akitrain ipasavyo uwezo unaongezeka. Hawa kila siku wapo hivi this means ni wavivu ama hakuna anayejua mazoezi katika waliopo.

In 2016 Leicester iliingiza wachezaji wanne katika kikosi cha msimu. They just trained with ferocity and on the pitch they gave it all.
 
Kwa hii hii timu ya Mashoga ama?
Msimu sitashagaa mtu akipasuka 7 kutoka kwa arsenal

Tumedhihakiwa sana

Norwich huyu anaweza kupasuka ata 5

Man u nakunyosha nje ndani, points 6 nachukua

Chelsea round ya pili nakukaza 3, mdogo wangu tangu mvunje ungo mmekua na mdomo sana.
 
Wanangu arse8 nawaombea ushindi angalau ifute skendo yenu ya kupambana tope. Mshinde leo mazee
 
Arsenal

now.arsenal
@now_arsenal

The Arsenal legends & their
Image
Image
Image
12:40 PM · Sep 7, 2021·Twitter for iPhone

119
Retweets
61
Quote Tweets
1,205
Likes







manwithoutborders








manwithoutborders


Reply






P™
@SemperFiArsenal
·
6h

Replying to
@now_arsenaI
Wenger ofcourse


4

3

222




Daniel Oates (Pixel Coffee House)
·
5h

Gotta be this right?


Arsene Wenger Crowd GIF

GIF




1

46




Bruce
@MiNiMe_1991
·
4h

Replying to
@now_arsenaI
Easily Wenger, one of
@Arsenal
Guardian angels
Image





15




Paul Bates
@paulgbates
·
2h

Replying to
@now_arsenaI
You forgot Herbert!! Whilst there are no shortage of choices I think marking the 1971 double side 50 years on would be great for those squad members still with us and their families, whether that is a statue of Frank McLintock with the cup or Charlie George celebrating!
Image
And we are here to stay
 
Back
Top Bottom