Haituhusu, hujionagi kuwa chizi wewe computerArsenalTunaomba radhi kwa ushindi huu mwembamba..next match tutawafurahisha zaidi.View attachment 1933677
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Bado kwenye level inayotakiwa lakini we are better.Vipi mechi? Tunaonyesha uhai au ni umbugila mbugila?
Huyu dogo ni mchezaji mzuri tena sana tu. Time will tellMbona sofascore inaonyesha Lokonga amedominate mid ila ametolewa. Kaumia?
Unaonaje ukaanzisha PSG special thread???PSG 4 tumewin we are on top of the league
Nilisoma sehemu wakasema ni mchanganyiko wa Vieira, Fabregas na Cazorla.Bado kwenye level inayotakiwa lakini we are better.
Huyu dogo ni mchezaji mzuri tena sana tu. Time will tell
Ligue ya Ufaransa imekosa thrill jamaa ndiyo analazimisha kupeleka moyo huko. Moyo hautaki inabidi tu aje humu huku anazuga hapendi.Unaonaje ukaanzisha PSG special thread???
Muda ni mwalimLigue ya Ufaransa imekosa thrill jamaa ndiyo analazimisha kupeleka moyo huko. Moyo hautaki inabidi tu aje humu huku anazuga hapendi.
Hiyo team ikicheza dhidi ya Chelsea inabamizwa kuanzia goal 4+ imeshafungwa goal 5 na Man city, imepigwa pia na liverpool goal 3 ni vibonde ndio maana ipo nafasi ya 20 alafu wewe unakuja kushinda kagoal kamoja Tena kwa mbindeNorwich siyo kibonde wewe. Timu imecheza mara home and away na timu zingine 23 na hapo kuna carabao na fa na imemanage kupanda bado unaiona kinabo
Sasa sisi Arsenal si tunarecoverHiyo team ikicheza dhidi ya Chelsea inabamizwa kuanzia goal 4+ imeshafungwa goal 5 na Man city, imepigwa pia na liverpool goal 3 ni vibonde ndio maana ipo nafasi ya 20 alafu wewe unakuja kushinda kagoal kamoja Tena kwa mbinde
Anakaza kichwa... Muache muda wake wa kufuliliza vipigo unakuja.Hiyo team ikicheza dhidi ya Chelsea inabamizwa kuanzia goal 4+ imeshafungwa goal 5 na Man city, imepigwa pia na liverpool goal 3 ni vibonde ndio maana ipo nafasi ya 20 alafu wewe unakuja kushinda kagoal kamoja Tena kwa mbinde
The guy alianza season kama Ronaldo wakati anafika united mara ya kwanza.Wazee Nicolas Pepe akiendeea hivi atauzwa very soon, amecost £72m na ameshapewa fursa kibao za kuProve uwezo wake lakini anasikitisha.
Timu haina kocha acheni upuzi.We Arsenal gani hata pasi tano tu hawawezi piga?.Wazee Nicolas Pepe akiendeea hivi atauzwa very soon, amecost £72m na ameshapewa fursa kibao za kuProve uwezo wake lakini anasikitisha.