Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,012
Changanya makombe ya chelsea na ya spurs.😂😂😂 Inauma hiyooooooo, fanya utakavojua ila nyie ni matakataka kwetu
Jumla mangapi?
Changanya makombe ya chelsea na ya spurs.😂😂😂 Inauma hiyooooooo, fanya utakavojua ila nyie ni matakataka kwetu
Moja na nusuChanganya makombe ya chelsea na ya spurs.
Jumla mangapi?
Hivi ni wewe ndiye ulipost unauza madish ya Canal+ ?Moja na nusu
HapanaHivi ni wewe ndiye ulipost unauza madish ya Canal+ ?
Basi nimeshauona uzi wa huyo mshkaji.Hapana
Kwa hiyo fainali zote nane watu walikuwa wanasokomeza tu miti mtaroni?Fainali nane.
Sijabeba mara zote.
Haya jibu nilichouliza
Akili yako ipo chini kiasi hichi?Kwa hiyo fainali zote nane watu walikuwa wanasokomeza tu miti mtaroni?
Naona unataka kufiiiii.... Rwanda kwenuUnauliza maswali ya kiwack kama wanakutoooo...kutoa kwenu
Muacheni jamani, mwenzenu kadata!Umecheza fainali ngapi za UCL na umebeba mara ngapi?
sio 60M, ni Cash (undisclosed) plus a playerArsenal imepeleka ofa rasmi kwa Leicester kwaajili ya james Maddison.
Ofa iliyoenda ni 60M. Ingawa mazungumzo yanaenda taratibu ila hata Maddison mwenyewe anataka kuhamia Arsenal.
Kila chanzo kimeandika lake.sio 60M, ni Cash (undisclosed) plus a player
Kwahiyo ndo kusema mume pakuliwa sio?
Nyie si huwa munajitapa kua munazifunga Chelsea na Manchester United?, leo kiko wapi?
Musisingizie mechi za maandazi, kupakuliwa ni kupakuliwa tu haijalishi mulipakulieaje.
Mtu mzima unamiliki Smartphone halafu hujui kuandika na haujisumbui kujua, inatia ukakasi sana.arsenane bana eti lokongaamjawah kua siirius
Maddison akikubali kuja kwenye hiki kitimu uchwara nitamshangaa sana.Kila chanzo kimeandika lake.
Kuna kimoja kimesema. Arsenal wamewaambia Leicester wachague mchezaji na kiasi cha pesa kitaamuliwa na mchezaji watakayemchagua.
Maddison akikubali kuja kwenye hiki kitimu uchwara nitamshangaa sana.