Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maddison hana ukali huo. Mimi binafsi naona Arsenal tunacheza kamari hapa ya kuwaridhisha mashabiki.

Arsenal ina shida na mtengeneza nafasi Maddison ana takwimu gani za kumfanya awe mtengeneza nafasi wa kumlilia? Na bahati mbaya sana mtengeneza nafasi kwa miaka hii wa kiingereza amekua Arnold, beki wa Liva, na Kane mshambuliaji.

Kwangu mimi huyu siyo mchezaji wa kuuzwa milioni 70 ila hapa ndiyo tunarudi palepale tunaposema "Ben White hana thamani ya milioni 50 ila Brighton wanaamini hiyo ndiyo thamani yake, Lukaku hana thamani ya milioni 150 ila inter wanaamini hiyo ndiyo thamani yake, Grealish hana thamani ya milioni 100 ila Villa wanaamini hiyo ndiyo thamani yake"

Arsenal ikipata winger mwenye speed, finnishing na skills hata za level ya Mahrez niamini mimi pengo la Maddison halitoonekana.
Sure mzee, kwenye profile Maddison anazidiwa na ESR kwa last season, hivyo inaonekana kweli Arsenal wanacheza kamari na hiyo pesa

Ila waingereza wanampenda sababu ni wao pia ni wazi ataongeza depth na productivity acha aje.
 
Houssem Aouar ni bei chee kuliko, Technical-wise yupo vizuri kuzidi, profile is better than maddison, Arteta kamrecruit toka ni Assistant Man city imekuaje tena...
 
Houssem Aouar ni bei chee kuliko, Technical-wise yupo vizuri kuzidi, profile is better than maddison, Arteta kamrecruit toka ni Assistant Man city imekuaje tena...
Form yake imedrop in alarming rate sidhani kama ni sahihi kuweka mpunga labda iwe loan ya kununua baadaye
 
Sure mzee, kwenye profile Maddison anazidiwa na ESR kwa last season, hivyo inaonekana kweli Arsenal wanacheza kamari na hiyo pesa

Ila waingereza wanampenda sababu ni wao pia ni wazi ataongeza depth na productivity acha aje.
Mpira wa siku hizi ni ama utoe assisst au ushinde, na kuna qualities za kutazama kujua huyu atatisha ama la kwa kuangalia trend hiyo ndiyo maana Villa walimng'ang'ania Emile.

Sasa Maddison akija ataprove nani yupo sahihi
 
Castr; Maddison na Ndidi ndio engine za Leicester, nina mashaka kama kweli uliwahi kumfuatilia, ukaona role yake kwenye timu
Kwangu mimi maddison hanishitui kabisa, namuona wa kawaida tu, tena kwa timu za kawaida.
 
Kwangu mimi maddison hanishitui kabisa, namuona wa kawaida tu, tena kwa timu za kawaida.
Kama kulikuwa na shida na mtengeneza nafasi za timu kushinda kwanini tuliridhia Ozil10 kuuzwa??

Pale tulifeli
 
Mpira wa siku hizi ni ama utoe assisst au ushinde, na kuna qualities za kutazama kujua huyu atatisha ama la kwa kuangalia trend hiyo ndiyo maana Villa walimng'ang'ania Emile.

Sasa Maddison akija ataprove nani yupo sahihi
Tumecheza bila AM paka january alipokuja Martin, huyu ataongeza rotation ni kitu kizuri ila binafsi nilitaka different taste kama Houssem, ni wazi hata kocha Arteta anampenda Aouar.

Madders aje kutusaidia kuImprove Youngsters, ESR,Lokonga,Willock ila Arteta atakuwa kamsaliti Aouar au sio bwana?
 
Maoni yangu ni tunahitaji mchezaji kama Alexis Sanchez. Hustler flani ataesaidia kupress, na mbunifu anayeweza hata kupiga chenga amtoke beki na kutoa pasi au kufunga hali ikiwa ngumu. Yaani mchezaji anayejiamini kuchukua sheria mkononi na kudrive team. Kwa zaidi awe anacheza upande wa kushoto mbele ya Tierney. Iwe Pepe kulia na huyu mwamba kushoto. Kati iwe Laca ama Auba ama Martinelli hilo sijali sana. Kwenye 'hole' ndiyo ache The Smith. Nia ni kuwa na wide forwards wawili hatari ili hata tukijifanya tunacheza na false 9, ni kama tuna strikers watatu.

Sasa nani anafaa kwa uchezaji wa namna hii?
 
Tumecheza bila AM paka january alipokuja Martin, huyu ataongeza rotation ni kitu kizuri ila binafsi nilitaka different taste kama Houssem, ni wazi hata kocha Arteta anampenda Aouar.

Madders aje kutusaidia kuImprove Youngsters, ESR,Lokonga,Willock ila Arteta atakuwa kamsaliti Aouar au sio bwana?
ESR na Lokonga wataevolve positively sana. Naamini hivyo.

Aouar sijui nini kimemkumba ila ikatokea wapo yeye na maddison mi nipo tayari kucheza kamari kwa Aouar.
 
Maoni yangu ni tunahitaji mchezaji kama Alexis Sanchez. Hustler flani ataesaidia kupress, na mbunifu anayeweza hata kupiga chenga amtoke beki na kutoa pasi au kufunga hali ikiwa ngumu. Yaani mchezaji anayejiamini kuchukua sheria mkononi na kudrive team. Kwa zaidi awe anacheza upande wa kushoto mbele ya Tierney. Iwe Pepe kulia na huyu mwamba kushoto. Kati iwe Laca ama Auba ama Martinelli hilo sijali sana. Kwenye 'hole' ndiyo ache The Smith. Nia ni kuwa na wide forwards wawili hatari ili hata tukijifanya tunacheza na false 9, ni kama tuna strikers watatu.

Sasa nani anafaa kwa uchezaji wa namna hii?
Martinelli anaweza.

Pepe pia anaweza
 
Martinelli anaweza.

Pepe pia anaweza
Yea. Nilimaanisha mtu wa kucheza na Pepe. Pepe lazima awepo kule kulia. Nadhani Martineli akiruhusiwa kujiexpress kama alikvyokuwa kipindi cha Emery atakuwa hatari sana. Mwenyewe nadhani Martinelli atafaa kwa nafasi hii na ningependekeza yeye. Auba awe central striker akibadilishana na kina Laca.
 
ESR na Lokonga wataevolve positively sana. Naamini hivyo.

Aouar sijui nini kimemkumba ila ikatokea wapo yeye na maddison mi nipo tayari kucheza kamari kwa Aouar.
sure, Lokonga & ESR at 23,24 itakuwa noma, sidhani kama kuna timu inatuzidi Youngsters wakali kwa sasa labda Barca na Ajax wanaweza jaribu kutufuata.
 
Tena Pepe ameanza kuutumia mguu wa kulia kushoot amekuwa hatari zaidi. Gabby pia kushoot anatumia miguu yote. Kwa na hawa wawili na central striker na creative player nyuma yao itasaidia sana. Maddison atafaa hiyo nafasi akibadilishana na The Smith. Wote wana close control nzuri ila naona Maddison yuko sharp na mwepesi zaidi kufanya maamuzi. Hivyo yeye na hao wetu mbele yake kutakuwa na ubunifu na hatari mbele.
 
Maoni yangu ni tunahitaji mchezaji kama Alexis Sanchez. Hustler flani ataesaidia kupress, na mbunifu anayeweza hata kupiga chenga amtoke beki na kutoa pasi au kufunga hali ikiwa ngumu. Yaani mchezaji anayejiamini kuchukua sheria mkononi na kudrive team. Kwa zaidi awe anacheza upande wa kushoto mbele ya Tierney. Iwe Pepe kulia na huyu mwamba kushoto. Kati iwe Laca ama Auba ama Martinelli hilo sijali sana. Kwenye 'hole' ndiyo ache The Smith. Nia ni kuwa na wide forwards wawili hatari ili hata tukijifanya tunacheza na false 9, ni kama tuna strikers watatu.

Sasa nani anafaa kwa uchezaji wa namna hii?
Ukimcheki Lautaro anacheza kama Sanchez for sure

Ila kwenya Wingers hapo mimi nipangie Saka na Pepe tu inatosha.
 
Ukimcheki Lautaro anacheza kama Sanchez for sure

Ila kwenya Wingers hapo mimi nipangie Saka na Pepe tu inatosha.
Lautaro then. Saka aanzie bench aingie Pepe akitoka na vice versa. Ila naona Saka hana amsha amsha na usumbufu kama Pepe.
 
Ukimcheki Lautaro anacheza kama Sanchez for sure

Ila kwenya Wingers hapo mimi nipangie Saka na Pepe tu inatosha.
Saka ilibidi abaki kua beki wa kushoto.

Lautaro ukikosa options unamuweka kama AM, ana umbile la kupenya na kuteleza kati kati ya msitu. Hapo ni kama kaja.

Huyu Emile awe winger kulia, Pepe kushoto, katikati Martinell. Auba na Laca wataingia tu.
 
Maddison would be open to move to Arsenal, Sky Sports wanareport

Wanafki njooni tena muone ukubwa wa Arsenal, watu wanaacha European football kwa ajili ya Gunners.

Auba
Pepe
Partey
Now, Maddison & Lautaro
 
Maddison would be open to move to Arsenal, Sky Sports wanareport

Wanafki njooni tena muone ukubwa wa Arsenal, watu wanaacha European football kwa ajili ya Gunners.

Auba
Pepe
Partey
Now, Maddison & Lautaro
Wakati huo Kane anakimbia Spurs kwa kuwa hawajafuzu UCL kweli london is red
 
Haaland kasema hawezi kuja timu iliyoanzishwa mwaka 2003.

Naona mnamtafuta Lukaku na Inter wamesema vinabo kama nyinyi hiyo milioni 100 hawaitaki na Alonso hawamtaki.

Tuchel kasema anamrudisha Giroud au Hazard
Intermilan siku hiz wanaongea na wewe?
 
Back
Top Bottom