John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Yaan Madison atakuwa chizi kuja hii timu haoni wenzake kina locatelli hawataki kabisa kusikia huo upumbavuHaaland kasema hawezi kuja timu iliyoanzishwa mwaka 2003.
Naona mnamtafuta Lukaku na Inter wamesema vinabo kama nyinyi hiyo milioni 100 hawaitaki na Alonso hawamtaki.
Tuchel kasema anamrudisha Giroud au Hazard

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

