Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie arsenal si mna washambuliaji, je mnashinda mataji gani!?.
We umeanza kushabikia chelsea mwaka gani? Mbona ni msimu uliopita tu tumeifunga chelsea tukachukua FA.

Tukachukua ngao ya hisani msimu huu. Au wewe mpira umeanza kufuatilia lini?
 
Hivi unajua wewe ni shabaki mandazi Kabisa.
25 years unajisifia kuingia top six wakati Chelsea inashinda mataji makubwa ya ulaya😀😀.
Mashabiki was arsenal Nani kawaroga jamani huh!?
Ndiyo kusema haujui mlishika nafasi ya ngapi? Shwain
 
Fainali nane.

Sijabeba mara zote.

Haya jibu nilichouliza
Halafu Mimi nimecheza fainali nga
We umeanza kushabikia chelsea mwaka gani? Mbona ni msimu uliopita tu tumeifunga chelsea tukachukua FA.

Tukachukua ngao ya hisani msimu huu. Au wewe mpira umeanza kufuatilia lini
We unazungumzia kuchukua FA na community shield, Mimi nazungumza kuchukua EUROPA NA UCL.
Can you imagine how different we are 😀😀.
Arsenal ni kikundi Cha wahuni tu wanaolipwa hela ya nyanya kwa week🤣
 
Ila kiukweli, goli lao la wazi lime kataliwa.
Binafs hii game mumetoa sare, kenge nyie
Haina tatizo hii game ..hawa walikuwa wetu tu hakikuwa na namna. Sema ni kama tulikuwa mazoezi tu.
Ila kiukweli, goli lao la wazi lime kataliwa.
Binafs hii game mumetoa sare, kenge nyie

Harvertz hakufaa kucheza kitimu km Chelsea, alifaa acheze timu km Arsenal, Real Madrid ,Barcelona timu zenye historia ya kueleweka.

Chelsea na Everton zina tofauti gani? utofauti ni Chelsea imechukua UEFA basi kitu ambacho hata Everton ikipata mmiliki tajiri wa kiarabu leo inaweza kukifanya.
Angalieni hii takataka ya Arse8 ..kwanini usiseme hii Arse8 unasemea Everton, kweli nyie ni takataka za kuondolewa pale mnatia aibu sana nyie.
 
Halafu Mimi nimecheza fainali nga

We unazungumzia kuchukua FA na community shield, Mimi nazungumza kuchukua EUROPA NA UCL.
Can you imagine how different we are 😀😀.
Arsenal ni kikundi Cha wahuni tu wanaolipwa hela ya nyanya kwa week🤣
Na mbona unakasirika sasa?
 
Hata aibu Hauna mkuu!? Acheze arsenal timu inamaliza nafasi ya kumi.

Arsenal ni genge la wavuta bangi tu

Hebu tupe history ya arsenal.
Cheltako na Asto villa zina tofauti gani?
Villa ana viikombe vingi vya ligi kuliko Cheltako timu ya 2010
 
Haina tatizo hii game ..hawa walikuwa wetu tu hakikuwa na namna. Sema ni kama tulikuwa mazoezi tu.



Angalieni hii takataka ya Arse8 ..kwanini usiseme hii Arse8 unasemea Everton, kweli nyie ni takataka za kuondolewa pale mnatia aibu sana nyie.
ollachuga Oc usiumie moyo Mzee baba wewe level yako Leicester city
 
Arsenal have been boosted in their pursuit of Inter Milan striker Lautaro Martinez after the Italian champions refused to rule out his departure during the current summer transfer window. (Sky Sports)
 
Halafu Mimi nimecheza fainali nga

We unazungumzia kuchukua FA na community shield, Mimi nazungumza kuchukua EUROPA NA UCL.
Can you imagine how different we are .
Arsenal ni kikundi Cha wahuni tu wanaolipwa hela ya nyanya kwa week
Haaahaa Dogo Uefa timu yako imeanza kushiriki 2006, nini unachojua we wakuja

Unasupport vipi Cheltako timu wachezaji wake wengi ni Fans Wa Arsenal...kasoro Werner ndio hatumtaki hafai kuwa a gooner.
 
Screenshot_2021-08-02-16-23-43-37.jpg
 
Back
Top Bottom