Aston Villa wamerudisha. 2-2 na Chelsea
Hii yote ni kuutokana na mahaba aliyonayo Wenger kwa Ramsey! This weekend lazima media zitamsakama sanaHakukua na umuhimu wa kumchezesha Ramsey out of position leo wakati tuna gervinho na Ox.
Poa tu. Tuangalie mbele. Sasa.
Vaminetor leo ametuvaminet sisi wenyewe! Both goals zimetoka kwake
Back where you belong
Ila Wenger anampenda Ramsey hakuna aisee duh. Mpaka anamchezesha kwenye wing ya kushoto!! I hope ata'deliver
Mnipigie Man Shitty next match na naahidi kuhamia chama lenu moja kwa moja:wink2: