Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

....together we stand.....

Kinacho matter ni tutavyo bounce back,
IMO, Ramsey kama Chamakh waendelee kubaki Reserve mpaka mwisho
wa msimu....hasa Ramsey, anatuharibia tempo...

QPR was a game to win, sio ku lose au draw lakini ndio hivyo tena,
labda Gaffer alidhani anaweza jaribu experiments hapo...imetu cost!!!

Anyway....daima mbele..

Mkuu za masiku ... .. .

Usijali Jack will be back soon, complacency costed us after a 7 match run .... ..... but on the other note its a big antidote to put the Mancs where they belong ... .... .....

BTW si uliona wenye Wivu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....mnh, next game tuna Everton "away" tukiivuka hiyo mambo mswano...
missing WACHA1 hapa...

Together We Stand!

Mkuu thanks for your concern, lakini hakuna kilichoharibika pengine wakinifungia tena Arsenal wataendelea kuwafunga hadi wakome khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ni kilio cha magoli matano.

Wakuu inakuwaje our Gooners Foot solder ! ( wacha ) kapigwa ban! :thinking: kuna ma mod wanachuki binafsi na gooners nini..?

Mkuu Viper,

Si unajua tena bakora za maneno zimewashinda chacha wanapata bahasha kutoka nchi jirani, money is king so they say ingawaje wameshindwa pale kwenye cowshed, Je, wataweza kwenye fikra za Wacha1?
 
Mnipigie Man Shitty next match na naahidi kuhamia chama lenu moja kwa moja:wink2:

Wacha fitna wewe unakodolea 20th win utaipata ukikomaa lakini huwezi kuhama wewe rafiki zako si mashoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini hamna timu timueni vile vizee hata Ijumaa chijui Alhamisi sikuwaona kwenye europa cup imekuwaje?
 
kutokana na muonekano ulivyo na mazoea aseno ka fungwa kwa hiyo na sie tutamfunga ila kwa taabu sana..

mkuu ndetichia mind you! gooners sio Sunderland... na hatutokubali kufungwa mechi mfululizo alafu home!... kichapo mtachezea tu! labda ramsey acheze tena.. mtaambulia draw..
 
Wacha fitna wewe unakodolea 20th win utaipata ukikomaa lakini huwezi kuhama wewe rafiki zako si mashoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini hamna timu timueni vile vizee hata Ijumaa chijui Alhamisi sikuwaona kwenye europa cup imekuwaje?
Welcome back Wacha aka Mzee wa kulialia,tunakuomba upunguze hayo matusi
 
Welcome back Wacha aka Mzee wa kulialia,tunakuomba upunguze hayo matusi

......aaaaaaarrrgggghhh, acha 'majungu' bana...ha ha ha....wacha hamtukani mtu compared
na wale wanazi wa darajani...siku hizi hata jukwaa wamelikimbia...:scared:
 
Mkuu za masiku ... .. .

Usijali Jack will be back soon, complacency costed us after a 7 match run .... ..... but on the other note its a big antidote to put the Mancs where they belong ... .... .....

BTW si uliona wenye Wivu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Welcome back kiongozi, wembe ule ule....
 
Welcome back kiongozi, wembe ule ule....

EEE bana eh hivi huyu Mike Dean mbona analilia sana mechi za Arsenal ..... ...... kapewa donge nono sana huyu nuksi tupu.
 
Wakulu heshima mbele.

Hili game Arsenal wamepoteza bure kwani hakukuwa na haja ya mzee Wenger kuanza na Ramsey wakati Gervinho angeweza kuanza. Hii ndio tunaita compacency- yaani unaporidhirika na hali uliyo nayo na kusahau kwamba kuna timu kama hizi zinazopigania kutoshuka daraja.

Tungeshinda mechi ya jana na kama tukiwafunga Man City Jumapili ijayo tungeweza kuelekea kushika nafasi ya pili.

QPR walikuwa more defensive kwa kucheza mtindo wa 4-5-1 ambao uliwawezesha wachezaji wao Joe Burton, Samba Diakite, Antony Ferdinand, Kamie Mackie na Adel Taarabt wote kumalba kadi za njano kwa kucheza rafu. Arsenal walitumia mtindo wa 4-2-3-1 ambao ulimwacha RVP aliranda eneo la 18.

Sasa kuna Man City (Home), Wolves (Away), Wigan (Home), Chelsea (Home), Stoke (Away), Norwich (Home) na West Brom Albion (Away).

Mechi za Man City tunaweza kushinda au kutoa sare, na zile zote za nyumbani tunaweza kushinda ila na Wolves na WBA kuna utata kwani tutakuwa ugenini.
 
EEE bana eh hivi huyu Mike Dean mbona analilia sana mechi za Arsenal ..... ...... kapewa donge nono sana huyu nuksi tupu.

I doubt kama si mshabiki wa Spurs au Chelski!..


Wakulu heshima mbele.

Hili game Arsenal wamepoteza bure kwani hakukuwa na haja ya mzee Wenger kuanza na Ramsey wakati Gervinho angeweza kuanza. Hii ndio tunaita compacency- yaani unaporidhirika na hali uliyo nayo na kusahau kwamba kuna timu kama hizi zinazopigania kutoshuka daraja.

Tungeshinda mechi ya jana na kama tukiwafunga Man City Jumapili ijayo tungeweza kuelekea kushika nafasi ya pili.

QPR walikuwa more defensive kwa kucheza mtindo wa 4-5-1 ambao uliwawezesha wachezaji wao Joe Burton, Samba Diakite, Antony Ferdinand, Kamie Mackie na Adel Taarabt wote kumalba kadi za njano kwa kucheza rafu. Arsenal walitumia mtindo wa 4-2-3-1 ambao ulimwacha RVP aliranda eneo la 18.

Sasa kuna Man City (Home), Wolves (Away), Wigan (Home), Chelsea (Home), Stoke (Away), Norwich (Home) na West Brom Albion (Away).

Mechi za Man City tunaweza kushinda au kutoa sare, na zile zote za nyumbani tunaweza kushinda ila na Wolves na WBA kuna utata kwani tutakuwa ugenini.

...I hope mechi ijayo Ramsey ataugua japo mafua....jamaaa amepwaya sana msimu huu,
mwenyewe anadai anam miss Wilshere,.....yale yale ya Fabregas kum miss Flamini...
 
Arsenal wakamilisha usajili wa mshambuliaji Lukas Podolski.

Club ya Arsenal imekamilisha usajili wa mchezaji mshambuliaji wa kimataifa wa Ujerumani Lucas Podolski, ambao umegharimu kiasi cha £11 milioni. Mchezaji huyo bado yupo Ujerumani lakini pindi msimu wa ligi utakapoisha atakuwa mjini London kukamilisha taratibu zote.

Mkataba kamili unasemwa kuwa ni paundi milioni 5 kwa mwaka ambazo ni sawa na paundo 80,000 kwa wiki.


article-0-126A012E000005DC-904_306x423.jpg

Lucas Podolski akiwa kazini.

Baada ya hapo kama nilivyowahi kusema huko nyuma Arsene Wenger ambae amesema wazi kwamba safari hii hatachelewa kufanya usajili, ataelekeza macho yake kwa Yann M'Vila mchezaji kiungo wa Rennes ya Ufaransa ambae atagharimu kiasi cha £15 milioni.



Yann M'Vila (kulia) akiwa kazini.

M'Vila ambae ana miaka 21 atakuwa asset kubwa kwa kumsaidia Alex Song ambae kuna wakati huonekana kuchoka na kuhitaji msaada ambao haupo kwenye eno la kiungo unganishi au "holding midfield" kazi ambayo imewashinda Abu Diaby na Francis Cquelin ambao bado hawajawa na uzoefu wa kutosha.

Arsene Wenger pia amepanga kuwaondoa wachezaji wote wasio na tija wakati wa summer kama Chamakh ambae anatakiwa na Juventus, Andrey Asharvin ambae timu alioko kwa sasa ya Zenit St Petersburg inataka kufanya usajili wake uwe wa kudumu.

Pia Carlos Vela usajili wake na Real Sociadad utafanywa kuwa wa kudumu ingawa ameonekana kufanya vizuri kwenye ligi ya La Liga pamoja na ule wa Denilson Pereira Neves kule Sao Paulo Brazil na Nicklas Bendtner ambae yupo Sundeland.

Wachezaji wengine ambao ni kama hawapo na hata wakicheza huweza kuleta majanga na wapo kwenye sell list ni pamoja na Sebastian Squillaci, Johan Djourou Lucas Fabianski na Manuel Almunia.
 
Arsenal wakamilisha usajili wa mshambuliaji Lukas Podolski.

Club ya Arsenal imekamilisha usajili wa mchezaji mashambuliaji wa kimataifa wa Ujerumani Lucas Podolski, ambao umegharimu kiasi cha £11 milioni. Mchezaji huyo bado yupo Ujerumani lakini pindi msimu wa ligi utakapoisha atakuwa mjini London kukamilisha taratibu zote.

Mkataba kamili unasemwa kuwa ni paundi milioni 5 kwa mwaka ambazo ni sawa na paundo 80,000 kwa wiki.


article-0-126A012E000005DC-904_306x423.jpg

Lucas Podolski akiwa kazini.

Baada ya hapo kama nilivyowahi kusema huko nyuma Arsene Wenger ambae amesema wazi kwamba safari hii hatachelewa kufanya usajili, ataelekeza macho yake kwa Yann M'Vila mchezaji kiungo wa Rennes ya Ufaransa ambae atagharimu kiasi cha £15 milioni.



Yann M'Vila (kulia) akiwa kazini.

M'Vila ambae ana miaka 21 atakuwa asset kubwa kwa kumsaidia Alex Song ambae kuna wakati huonekana kuchoka na kuhitaji msaada ambao haupo kwenye eno la kiungo unganishi au "holding midfield" kazi ambayo imewashinda Abu Diaby na Francis Cquelin ambao bado hawajawa na uzoefu wa kutosha.

Arsene Wenger pia amepanga kuwaondoa wachezaji wote wasio na tija wakati wa summer kama Chamakh ambae anatakiwa na Juventus, Andrey Asharvin ambae timu alioko kwa sasa ya Zenit St Petersburg inataka kufanya usajili wake uwe wa kudumu.

Pia Carlos Vela usajili wake na Real Sociadad utafanywa kuwa wa kudumu ingawa ameonekana kufanya vizuri kwenye ligi ya La Liga pamoja na ule wa Denilson Pereira Neves kule Sao Paulo Brazil na Nicklas Bendtner ambae yupo Sundeland.

Wachezaji wengine ambao ni kama hawapo na hata wakicheza huweza kuleta majanga na wapo kwenye sell list ni pamoja na Sebastian Squillaci, Johan Djourou

....ha ha ha...ati wakichezeshwa waweza leta majanga..
hapana, Djourou alituokoa sana msimu uliopita, basi tu watu wamepoteza
kumbukumbu. Wakati ule Tv5 majeruhi,...

Msimu huu ame drop kidogo, I hope ataedelea kubakia kama 3rd choice centre half...
ila Chamakh, Bendtner, Vela, Diaby, Arshavin, Squillaci, Fabianski na Almunia...mnh...
bora tu wajiondokee...
 
Arsenal wakamilisha usajili wa mshambuliaji Lukas Podolski.

Club ya Arsenal imekamilisha usajili wa mchezaji mshambuliaji wa kimataifa wa Ujerumani Lucas Podolski, ambao umegharimu kiasi cha £11 milioni. Mchezaji huyo bado yupo Ujerumani lakini pindi msimu wa ligi utakapoisha atakuwa mjini London kukamilisha taratibu zote.

Mkataba kamili unasemwa kuwa ni paundi milioni 5 kwa mwaka ambazo ni sawa na paundo 80,000 kwa wiki.


article-0-126A012E000005DC-904_306x423.jpg

Lucas Podolski akiwa kazini.

Baada ya hapo kama nilivyowahi kusema huko nyuma Arsene Wenger ambae amesema wazi kwamba safari hii hatachelewa kufanya usajili, ataelekeza macho yake kwa Yann M'Vila mchezaji kiungo wa Rennes ya Ufaransa ambae atagharimu kiasi cha £15 milioni.



Yann M'Vila (kulia) akiwa kazini.

M'Vila ambae ana miaka 21 atakuwa asset kubwa kwa kumsaidia Alex Song ambae kuna wakati huonekana kuchoka na kuhitaji msaada ambao haupo kwenye eno la kiungo unganishi au "holding midfield" kazi ambayo imewashinda Abu Diaby na Francis Cquelin ambao bado hawajawa na uzoefu wa kutosha.

Arsene Wenger pia amepanga kuwaondoa wachezaji wote wasio na tija wakati wa summer kama Chamakh ambae anatakiwa na Juventus, Andrey Asharvin ambae timu alioko kwa sasa ya Zenit St Petersburg inataka kufanya usajili wake uwe wa kudumu.

Pia Carlos Vela usajili wake na Real Sociadad utafanywa kuwa wa kudumu ingawa ameonekana kufanya vizuri kwenye ligi ya La Liga pamoja na ule wa Denilson Pereira Neves kule Sao Paulo Brazil na Nicklas Bendtner ambae yupo Sundeland.

Wachezaji wengine ambao ni kama hawapo na hata wakicheza huweza kuleta majanga na wapo kwenye sell list ni pamoja na Sebastian Squillaci, Johan Djourou Lucas Fabianski na Manuel Almunia.

mkuu ni habari njema lakini kutokana na tarehe ya leo .... sitozitilia maanani mpaka kesho ... mungu akipenda
 
Good news gooners. Jack Wilshere will feature in today's Arsenal reserves versus Birmingham. Lets hope he makes a swift comeback 🙂
 
Back
Top Bottom