Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Captain anamind mipira haimfikii... Lakini kapewa bonge la pande kazingua....
 
Nimefurahi kumuona Andre Santos back.....

Haka ka Ramsey ka nini tena?,si bora angemuingiza AOC tu...
 
Kafunga free kick.............. Artetaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
3 goalz.... 3 points....safi kabisa... With a very nice CLEAN SHEET......Swafi kabisa.... This is Arsenal Football Club....3 points ahead of T'Ham, 8 points ahead of Chelsea.... I dont have to mention Liverpool... Latest walikuwa wameshapigwa 2-1 na Wigan.... They r off the Loop..... BIG UP GOONERS!!!
 
28th December 2011 kipindi kile tunacheza ovyo sana niliandika hii comment !!

gooners msijali its a matter of time .. nafasi ya tatu yetu, chelsick atapigania 4th na liver au spurs hii ni FACT labda table mwisho wa msimu waigeuze juu chini ndio watakuwa above gooners ... tuangalie mbele ..

jamaa akanijibu hivi ...

Dream on mate! Ilikuwa mechi ya wachezaji 12 (pamoja refa) dhidi ya 10, lakini bado mmeshindwa kufanya lolote la maana, halafu unafikiri mnamaliza wa 3, kila mwaka tumesikia sentensi kama hizi hapa kwenye kajukwaa kenu, hahahaha!! Delusion!



hahahahaha :lock1:!!!!!!! nitamtafuta mwisho wa msimu! huyu!!

Always ! Arsenal fan & Proud!!

VIPER!
 
[TABLE="class: football"]
[TR]
[TD="class: col1"]1[/TD]
[TH] Manchester United [/TH]
[TD]29[/TD]
[TD]22[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]46[/TD]
[TD]70[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: col1"]2[/TD]
[TH] Manchester City [/TH]
[TD]29[/TD]
[TD]22[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]50[/TD]
[TD]69[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]3
[/TD]
[TH] Arsenal [/TH]
[TD]30
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]22
[/TD]
[TD]58
[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: col1"]4[/TD]
[TH] Tottenham Hotspur [/TH]
[TD]30[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]18[/TD]
[TD]55[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]5[/TD]
[TH] Chelsea [/TH]
[TD]30[/TD]
[TD]14[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]15[/TD]
[TD]50[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: col1"]6[/TD]
[TH] Newcastle United [/TH]
[TD]29[/TD]
[TD]13[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]47[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]7[/TD]
[TH] Liverpool [/TH]
[TD]29[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]42[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
28th December 2011 kipindi kile tunacheza ovyo sana niliandika hii comment !!



jamaa akanijibu hivi ...





hahahahaha :lock1:!!!!!!! nitamtafuta mwisho wa msimu! huyu!!

Always ! Arsenal fan & Proud!!

VIPER!
Jamaa siku hizi hathubutu tena kuja huku!!!
 
BBC Sport Former Arsenal defender Martin Keown on Final Score:"There's now consistency in the Arsenal team, particularly in the back four. Now they're grinding out results. It's not been an easy season for Arsene Wenger, and it will be really interesting to see if he dips to the transfer market in the summer. He does need to strengthen that squad."

AW alishasema kuwa hataki Quantity but Quality.....

 
hongereni wapinzani wetu wa jadi!hata hivyo mmetuangusha sana mwaka huu,yaani mmetuacha wazee wenzenu tunapigishana kelele na watoto man city!mmetuangusha sana,mwakani msirudie tena!
 
141805959.jpg


141805857.jpg


141806112.jpg
 
Back
Top Bottom