Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Tatizo liko kwenye umaliziaji......Emirates pabaya kweli mwaka huu
...naona hapa leo ni kugawana point tu....duh!
Hii team sometym inafanya mambo ya KISENGEnyaji sana.... this was a must win Game...... Tumembebwa na Kadi nyekundu ila bado tu.... Finishing ni zaidi ya POOR.... Kwa mwendo huu hata hy 4th spot tusahau......
Hii team sometym inafanya mambo ya KISENGEnyaji sana.... this was a must win Game...... Tumembebwa na Kadi nyekundu ila bado tu.... Finishing ni zaidi ya POOR.... Kwa mwendo huu hata hy 4th spot tusahau......
Poleni sana..by kesho Arsenal itakuwa juu yenu.
Chelski, tunawashukuru rasmi kwa kuwaachia the gunners kuwa juu yenu kesho, kwenye nafasi ya nne!
Cheers Blues! You guys are very kind, thanks again!
That RED was too HARSH.......I dont AGREE..... Faida kwetu ila jamaa ndo watafunga duka sasa....
Hii team sometym inafanya mambo ya KISENGEnyaji sana.... this was a must win Game...... Tumembebwa na Kadi nyekundu ila bado tu.... Finishing ni zaidi ya POOR.... Kwa mwendo huu hata hy 4th spot tusahau......
Malaria hiyo, hahahaha!!
Mmebebwa lakini hambebeki.
Hahahahahah lol!....Jana ulikuwa mgonjwa hapa mara baada ya mpira kwisha ukapanda kitandani haraka sana tena sauti hata ilikuwa haitoki 🙂🙂🙂 leo umechangamka utadhani umechaguliwa kuwa Rais wa dunia lol! Kusema kweli inatia donge sana kutoa draw katika mechi ambayo tulistahili kushinda for at least 3-0, mechi kama hizi ndio za kujipatia points za kirahsi lakini leo tumezembea labda Chelsick mmetuambukiza Malaria lol!
karibu kwenye wodi yetu yakhe sie na henderson na carrol tushazoewa tumeamua hadi kuwalfulia mshuka wagonjwa wenzetu ati'Upumbavu mtupu.
Tumepoteza nafasi muhimu sana.
Ni kweli hii ilikuwa mechi ya kushinda kirahisi ukizingatia mazingira ya mchezo: MMEBEBWA SANA, lakini wapi. Hovyo kabisa, mnashindwaje kushinda dhidi ya Wolves iliyo na wachezaji 10 tu?! Refa wenu leo kagoma kumpa Song red card, akajampa mchezaji wa Wolves red card ya ajabu kabisa! Wachezaji wenu wote walikuwa wanadive tu na refa anawapa foul. Lakini pamoja na yote hayo mmeshindwa kushinda! Hongereni lakini kwa "kupanda juu ya Chelsea" kwenye msimamo wa ligi....hahahahahahahaha!!
Taarifa taarifa taarifa:
Kuna kijana mwenzetu anaitwa WACHA kapelekwa Hospital na sasa yupo ICU baada ya kuanguka wakati anaangalia Mechi iliyokwisha hivi punde. Kama we ni jamaaa wa karibu si vibaya ukimpitishia chochote ikipata muda wa kwenda hospital