Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi sio shabiki wa Arsenal, ila nawapongeza watani kwa kabumbu safi mnalotandaza leo, nahisi Arsenal ndo inarudi katika form yake. Na ndio itareplace nafasi ya Barca inayoelekea ukingoni, maana hii ni mechi ya tatu mkiwa mnafurahi wadau wa Arsenal.
 
kuna watu niliwasikia clouds wanasena arsenal ikishinda wataishi Somalia ... mungu Yupo pamoja na washika bunduki wa emarates tuombe kipindi cha pili tuwapige tatu nyingine ...
 
hii arsenal ya leo sijui imefufukia wapi! au huwa wanafanya kusudi na ule mpira wao wa kupaka rangi

Wachezaji wetu wanapenda kucheza wakiwa under pressure. Mara nyingi wakifungwa ndio wanaamka, badala ya kuanza na speed toka mwanzo. Sasa leo wamejua kwamba hakuna kulemba zaidi ya kutafuta magoli.
 
COME ON ARSENAL!
Team to face AC Milan: Szczesny, Sagna, Vermaelen, Koscielny, Gibbs, Song, Rosicky, Oxlade-Chamberl ain, Walcott, Gervinho, Van Persie.
Subs: Fabianski, Djourou, Miquel, Jenkinson, Ozyakup, Chamakh, Park
 
kuna watu niliwasikia clouds wanasena arsenal ikishinda wataishi Somalia ... mungu Yupo pamoja na washika bunduki wa emarates tuombe kipindi cha pili tuwapige tatu nyingine ...

Hata mimi niliwasikia hao jamaa sasa sijui watahama kweli.
 
tukiwatoa hawa ac milan sijipatii picha furaha lake!!!ni mwendo wa kufukuza mbweha tu leo!go arsenal......
 
Back
Top Bottom