Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Tuondelee tulipoishia kipindi cha pili.
Tufanye kila kitu tupate goli la nne kwenye dakika 10 za kwanza.
Tufanye kila kitu tupate goli la nne kwenye dakika 10 za kwanza.
hii arsenal ya leo sijui imefufukia wapi! au huwa wanafanya kusudi na ule mpira wao wa kupaka rangi
Hivi karibuni Rosisky kaonyesha kiwango chake cha juu.
kuna watu niliwasikia clouds wanasena arsenal ikishinda wataishi Somalia ... mungu Yupo pamoja na washika bunduki wa emarates tuombe kipindi cha pili tuwapige tatu nyingine ...
Milan wanatafakari bao tatu zimeingilia mlango gani
kama unaumwa pole sana mkuu upone harakaWakuu. Niko hospitali hapa naona wanataka kunifukuza.
Tuko pamojaa