Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha wa ac Milan anaweza ku-Adre viabosiwa tukiwatoa

Ila hizi kadi za njano na song naye kapewa
 
Naona kipindi hiki cha pili timu haichezi vizuri kabisa! Wenger anahitaji kufanya mabadiliko
 
soka bana!!!kuna pimbi nipo nae anajifanya ananijua hapa hajui anavyoniboa!!!watu tunataka ushindi hatujaja kujuana hapa!!!gervinho a.k.a kr inabidi abadilike
 
Naona kipindi hiki cha pili timu haichezi vizuri kabisa! Wenger anahitaji kufanya mabadiliko

Mabadiio muhimu lakini benchi hilo nani ataleta mabadiiko. Nadhani wenger anasubiri kidogo afanye offesinve change ili liwalo na liwe
 
napata hisia hii ngoma itaenda extra time hapo ndo tunaenda kuwaua hawa wataliano kwani goal la nne nishaliona!
 
Hizo sub ndo kaharibu, angemtoa Walcot naona anawanyima wenzake ushindi.
 
Back
Top Bottom