Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
refa kadi ya nini tena hapo?
SIwote mnajifanya mnacheki mechi ya arsenal sasa mimi hapa nacheki gemu ya benfica na zenit
1-0 Arsenal Koscheny From corner
refa kadi ya nini tena hapo?
A good start at least mnaonyesha ari ya kufanya mapinduzi.
2mekosa goli la wazi kabisa hilo
kaka wanachezea benfica ureno huko hadi sasa ni 0-0SI
Hii mechi inachzezewa wapi kama ni urusi labda unatamani kuangaia barafu ....lol
possible...kwa ArsenalKwenye mpira kila kitu kinawezekena! We need just 2 goals!!
hii mechi ni kukamilisha ratiba...poleni gunners!!
Kwenye mpira kila kitu kinawezekena! We need just 2 goals!!