Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mashabiki wanazomea.......Hawataki Chamberlain atoke

Hata RVP anashangaa
 
Kamtoa chamberline, hivi huyu Wenger amelogwa????? Huyu mzee bogus sana!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
huyo kocha wenu kiboko, naona wanam-boo baada ya kumtoa dogo Chamberlain, hata Vn P kachukia.....kwanini sio Walcott
 
Wenger inabidi wamtupie chupa za maji. Huyu Arshavin kwa kunyata kote anaenda kumtoa Chamberlain dogo alikuwa speed na skills zinatusaidia.
 
....ebo? huyu Arsene Wenger naye vipi? Alex Chamberlain ndiye aliyekuwa anasaidia kuliko Theo!
hahahaha....sasa nimeamini huyu manager kweli anao ule ugonjwa wa wazungu vizee!
 
....ebo? huyu Arsene Wenger naye vipi? Alex Chamberlain ndiye aliyekuwa anasaidia kuliko Theo!
hahahaha....sasa nimeamini huyu manager kweli anao ule ugonjwa wa wazungu vizee!
Mashabiki wamemtukana sana....

Walcooooooooooooooooootttttttt...................Kipa kadaka
 
huyu coach naona amepanga kabla ya mpira kubadili wachezaji sio kwa mpira unavyokwenda sab zake zote sio za uhakika
 
Back
Top Bottom