Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hahahaha!! ukiona Van Persi hafungi goli rahisi hivyo, ujue ni siku ya kufa nyani.
 
Then the same player anakuja kuuliza kuwa why team haishindi?????? what a miss????
 
Kweli leo ni siku ya kufa nyani........RVP anakosa goli la wazi kama lile.....
 

...hawa wetu leo, wasipoongeza goli...hii gemu tutawatoa nishai,...subirini kidogo!
 
chairman wenu bomba sana, it's all about profit not trophies!

....mfanyabiashara yule, halafu stakes zake za urithi sio ushabiki kama David Levy wa Spurs...
no wonder David Dein na lady
Nina Bracewell Smith waliachia ngazi...

so long as tupo kwenye EPL, merchandise zinaletesha profit...kelele za mlango hazisumbui, tukiwa tuna fight
relegation battle watauza shares zao...!
 
Tunacheza vizuri sana......Tatizo ni umaliziaji

...hahaha,mara maji ya shingo?...wanataka kumuingiza scholes defensive tactic?....wanatafuta penalti hawa...
kibabu kitawafungisha!


duhhh, Rooney siku hizi kawa spoilt brat?...kila kitu kuchongea kwa refa, ebo?
 
Back
Top Bottom