Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Wenger bana kwa nini asimrudishe Djorou kati huyo Koscienly aende kulia maana ManU magoli yao yanatokea pembeniDogo Miquel yupo, labda aende kati Miquel alafu Koscienly aende kulia, na hapo bado utakuwa umechanganya habari kinoma.
NANI anatusumbua sana, Varmelen amewaza kumzima Valencia vya kutosha