Swanswea wamepiga mpira Leo .. inshort tumekuwa out played .. they deserve a win . Na mzeee wenger alishasema haingii sokoni.. tutarajie kuwaona kina arshivin sana tu ...
Arsenal wamezidiwa kwenye kiungo, Wenger anamwingiza Henry ambaye anaonekana kabisa hana pumzi ya kutosha! The returning king was just running around like a headless chicken.
Huko Uingereza hakuna mshabiki anaweza mtumia AW kimeta kwenye kibahasha? Nafac ya 4 kwenye msimamo ni ndoto 7bu chelsea,liverpool,newcastle na arsnl wote wanategemea nafac hiyo. Mzee mbishi sana