Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Tusipoangalia tutafungwa mechi hii.....
Tatizo liko kwenye kiungo pale kati....Song hana msaidizi,Benayoun yupo yupo tu....Tuko pamoja wakuu.
Naona tupo tupo, wala hatuna muelekeo wowote ule na hatuoneshi nia ya ushindi.
Mechi muhimu sana hii kushinda.
Tatizo liko kwenye kiungo pale kati....Song hana msaidizi,Benayoun yupo yupo tu....
AW asipofanya mabadiliko mapema 2nd Half tunaweza kufungwa mechi hii....
Sijui ni kwa nini hataki kuwaanzisha Chamberlain na J.Y Park
arshavin anakera...
Ni kuzidiwa kwa kuitakia Mich....
Tumekoswakoswa......Kipa wetu kadaka....
Wenger ni mgumu sana kwenye kufanya mabadiliko(sub) ya mapema....yaani we acha tu.. kipindi cha pili wafanye mambo
Mkuu hapo ulipo itakuwa too much delay, kipindi cha pili kishaanza ni dakika ya 49 hivi sasa...Kipindi cha pili kimeanza