Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Tunashambuliwa sasa.......
Tumekoswakoswa.....
Safi sana RVP....
Ningekuwa AW ningefanya mabadiliko ya mapema badala ya kujikunyata tu pale kwenye benchi
Tumezidiwa jamani....
Djourou ni hovyo kabisa na dogo Miquel yuko slow japo anajitahidi kukaba...metasaker na koscial ndo wana2okoa kule nyuma...beki zote za pembeni zimekufa
Ni kuzidiwa kwa kuitakia Mich....Hakuna la ajabu mkuu, si ni Arsenal yetu hii? Easy!
Walcott bana.........Bora Chamberlain tu