Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
...na ndio maana tumemchukua,forza gunners.Oxlade chemberlain pale wenger amelamba dume! Ni kitendo cha kumpa mechi nyingi zaidi..dogo anajua
...na ndio maana tumemchukua,forza gunners.Oxlade chemberlain pale wenger amelamba dume! Ni kitendo cha kumpa mechi nyingi zaidi..dogo anajua
Oxlade chemberlain pale wenger amelamba dume! Ni kitendo cha kumpa mechi nyingi zaidi..dogo anajua
TH ... sio starting 11 ... hizo nyingine mwanzo mwisho wale wazee wanakimbia 90min!! gooners umeona kina walkot, alex.... etcl....
Oxlade chemberlain pale wenger amelamba dume! Ni kitendo cha kumpa mechi nyingi zaidi..dogo anajua
mi nahic huyu jamaa bado kama anaipenda hv arsenal!
Hapana mkuu. Unajua wakati mwingine sisi mashabiki na wapenzi wa mpira uwa tunaweka unazi mbele sana kuliko uhalisia.
Mimi nimeongelea suala la leo Henry kuonekana lulu wakati mara zote Arsenal na washabiki wanazisema vibaya timu zenye wachezaji wenye umri kama chogo.
Tunajisahau kwamba katika soka la kisasa,mchanganyiko wa damu changa na kongwe ni muhimu. Mimi nafurahi kwamba AW ameanza kuliona hilo. Bado washabiki wake,ila nao muda si mrefu wataelewa.
Wako ni unazi au........? Hata kumwita mtu jina unashindwa? Halafu wewe si mpenzi wa timu sasa unatakaje ibadilike? Walioipenda wameipendea hivyo na ikibadilika kama unavyotaka wewe itakuwa yako wewe/.
![]()
Made it look so effortless, so easy.. I wonder why the young Gooners can't seem to get it?!
![]()
My bad......Furaha za goli la Henry hiyo....Hapo kwenye matokeo umekosea co 1-1 ni Arsenal 1-0 Leeds United
Ujuzi hauzeeki.My bad......Furaha za goli la Henry hiyo....
Nimesahihisha..
Best Wishes Fulham
Good newz;Johan Djourou na Thomas Vermaelen wanatarajiwa kuwepo katika mechi dhidi ya swansea na Bacary Sagna huenda akawepo uwanjani katika game dhidi ya Man U!
Good newz;Johan Djourou na Thomas Vermaelen wanatarajiwa kuwepo katika mechi dhidi ya swansea na Bacary Sagna huenda akawepo uwanjani katika game dhidi ya Man U!