Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Okay,endelea ku-relax hapo juu,we won't do you any harm,forget about us!Poleni mabingwa watarajiwa, hapa ndipo muone kuwa hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu. Hizi ndio zilikuwa mechi za kuziba gap wakati walio juu wakichemsha wewe ndio ulitakiwa ufanye kweli. Ndio EPL hiyo!!!!!!!.