Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona Henry anakumbushia enzi zake za kukimbia na mpira kwenye kibendera cha kona kwa lengo la kupoteza muda......Hahaaaaa
 
Henry atawasaidia watoto kupata moyo uwanjani.

Atakuwa super sub kwa mda huu manake spidi ya game kali hatoweza dakika 90.
 
Grow up........You cn do better than this man.....

It is too sad you judge the issue like that when it is about Arsenal.

You all gooners need to grow up.

That's how is soccer is supposed to be. A blend of talented,experienced and upcoming players is what makes a soccer team the best in today's world of sports.
 
Tumshukuru sana Song..ameonyesha kuwa naye anaweza kutoa final balls nzuri. Ramsey bado akili haijatulia, anaruka ruka tu uwanjani.
 
Henry kama kawa Banana Goal! Arshavin alikuwa amelize Game mapema.
 
mkuu nadhani una usingizi kalale bana...

Hapana mkuu. Unajua wakati mwingine sisi mashabiki na wapenzi wa mpira uwa tunaweka unazi mbele sana kuliko uhalisia.

Mimi nimeongelea suala la leo Henry kuonekana lulu wakati mara zote Arsenal na washabiki wanazisema vibaya timu zenye wachezaji wenye umri kama chogo.

Tunajisahau kwamba katika soka la kisasa,mchanganyiko wa damu changa na kongwe ni muhimu. Mimi nafurahi kwamba AW ameanza kuliona hilo. Bado washabiki wake,ila nao muda si mrefu wataelewa.
 
Tumshukuru sana Song..ameonyesha kuwa naye anaweza kutoa final balls nzuri. Ramsey bado akili haijatulia, anaruka ruka tu uwanjani.

umenena!ramsey nahisi bado utoto unamsumbu,kama angekuwa yuko makini kwa nafasi yake angekuwa ni mmoja kati ya makey play awapo kwenye pitch but he's wastfull
 
Kweli simba akizidiwa, ula majani.

Leo mnamfurahia pensioner. Mlikua mkiwasema sana Chelsea;sasa mnakula matapishi yenu.

Hapana mkuu. Unajua wakati mwingine sisi mashabiki na wapenzi wa mpira uwa tunaweka unazi mbele sana kuliko uhalisia.

Mimi nimeongelea suala la leo Henry kuonekana lulu wakati mara zote Arsenal na washabiki wanazisema vibaya timu zenye wachezaji wenye umri kama chogo.

Tunajisahau kwamba katika soka la kisasa,mchanganyiko wa damu changa na kongwe ni muhimu. Mimi nafurahi kwamba AW ameanza kuliona hilo. Bado washabiki wake,ila nao muda si mrefu wataelewa.

TH ... sio starting 11 ... hizo nyingine mwanzo mwisho wale wazee wanakimbia 90min!! gooners umeona kina walkot, alex.... etcl....
 
Back
Top Bottom