Kuumia kwa Caicedo napo pamechangia anasaidia sana kufanya kazi zote chafu na kulinda defenders moja kati ya mchezaji muhimu sana kwetuNi kweli, lakini huku mwanzoni msipojikaza ndo manatuachia ubingwa mapema sana.
Kuumia kwa Caicedo napo pamechangia anasaidia sana kufanya kazi zote chafu na kulinda defenders moja kati ya mchezaji muhimu sana kwetuNi kweli, lakini huku mwanzoni msipojikaza ndo manatuachia ubingwa mapema sana.
In terms of quality ukaamua kufananisha quality ya timu iliyopo Champions League na ambayo haipo utakua umeamua kua miyeyusho.Hata sisi Fulham walicheza jihad na wakala 3 takatifu na Fulham ina watu haswa huwezi kufananisha na Aston villa kucheza jihad ni jambo moja kuwa na watu wenye quality ya kucheza hivyo ni jambo lingine
Kwahiyo unahisi nyinyi shida yenu msimu uliopita ilikua ni Enzo?Mimi Sina ushabiki wa kijinga kwenye ukweli nasema sijawahi kusema Arteta mbaya labda mashabiki wa manyumbu Arteta ni bonge la kocha hii team yenu angekuwa kocha wenu ni Enzo Maresca mngekuwa mnatafuta nafasi ya kugombea ligi ndogo ya mabingwa( Europa league) hata angekuwa ni Guardiola msingechukua ligi.
Hapa umeongea kishabikiIn terms of quality ukaamua kufananisha quality ya timu iliyopo Champions League na ambayo haipo utakua umeamua kua miyeyusho.
Kama Villa akicheza hivi dhidi ya Chelsea, Chelsea mnakufa hata kama mtakua mmepumzika kwakua hampo michuano yoyote ya msingi.
Ila kwakua hua mnapenda kujifurahisha, endelea.
Arteta Hana wachezaji wa kiwango kikubwa ila kaifanya team iwe competitive na ngumu kufungika ndio maana nimempa kongole Guardiola pamoja ya kwamba ni Kocha Bora lakini anafanikiwa kwa kuwa na wachezaji wa viwango vya juuKwahiyo unahisi nyinyi shida yenu msimu uliopita ilikua ni Enzo?
Siyo tena defense?
Hua unanichanganya, stick na kimoja kwanza
Wewe unayefananisha ubora wa Villa na fulham niseme nini?Hapa umeongea kishabiki
Japo Mimi ni Arsenal damu, lakini Caicedo alipolia nami niliumia.Kuumia kwa Caicedo napo pamechangia anasaidia sana kufanya kazi zote chafu na kulinda defenders moja kati ya mchezaji muhimu sana kwetu
Ila wewe jamaa 😅Arteta Hana wachezaji wa kiwango kikubwa ila kaifanya team iwe competitive na ngumu kufungika ndio maana nimempa kongole Guardiola pamoja ya kwamba ni Kocha Bora lakini anafanikiwa kwa kuwa na wachezaji wa viwango vya juu
Wewe ni mshabiki wa Kwanza wa Arsenal nimekutana nae mwenye akili nzuri na unajua maana halisi wa kuwa mshabiki wa mpira wenzako huwa wanajitoa ufahamu hata pale penye ukweli mmojawapo ni CastrJapo Mimi ni Arsenal damu, lakini Caicedo alipolia nami niliumia.
Bahati nzuri utakutana na FulhamWewe unayefananisha ubora wa Villa na fulham niseme nini?
Huwezi kunielewa ukiwa umebeba bendera ya ushabiki, Arteta kaichukua team yenu ikiwa haina mbele wala nyuma mpo nje ya top 4 lakini akaisuka na mkampa muda wa ujenzi ndio kaifanya iwe hii Leo mnacheza kwa identity yake kaona mpira mzuri hauwezi kuwalipa kwa sababu hamna wachezaji wenye viwango vikubwa wa kuwapa Mataji ndio maana akaamua acheze soka haramu. Huwezi kucheza mpira wa mzuri na hapo hapo unataka matokeo ukawategemea Kai, Madueke,Martinell, Jesus, Zubimend,Ben White, Eze n.k ndio maana akaamua kuchagua njia haramu kushinda taji utapinga lakini hiyo haibadilishi nyie mna wachezaji wengi wa kawaida wachezaji wengi kwenu wakija Chelsea namba hawapati na ndio maana tunawauziaga magarasa.Ila wewe jamaa 😅
Hii timu ishakua na beki Maitland-Niles, Mari, Sokratis.
Ishakua na kiungo Guendouzi, ishakua na beki Soares, imeshacheza ikitegemea kiungo Ramsay ndiye afanye maajabu ya kufunga. Na siyo forwards.
Hii timu imeshakua na beki Luiz, imeshacheza ikimtegemea kipa Cech na Leno.
Hii timu imeshaingia uwanjani huku mpinzani akiwa amejiandaa kuchukua matokeo na anayachukua.
Hii timu imeshacheza huku inaanza kupata magoli mawili lakini mechi inaisha sare au tunafungwa.
Wewe huwezi kujua haya kwakua unaangalia livescore matokeo hauangalii mechi na unaangalia stats za mchezaji.
Mimi nisipoangalia mechi nasema ili mtu aelewe mtazamo wangu unapotokea, kama unaangalia takwimu na rekodi na unadai wachezaji wa Arsenal hawana viwango hakikisha na makocha wa timu za taifa wanapata huu ujumbe.
Saka kamuweka benchi Palmer, akamuweka benchi Madueke. This time around hata timu ya taifa hajaitwa, mnadai mna forward mzuri hata hiyo timu ya taifa hajagusa.
Unaongea sana broken mzee
Sijajua maana yako yakuweka hivi ni Nini?Msimu uliopita chelsea anamaliza msimu kwa kufungwa magoli 52.
Hziyech22 anakuambia wana kiungo bora dunia nzima hua anasaidia kuzuia mashambulizi.
Mashambulizi gani anayazuia sasa? Kwahiyo angekua hayazuii wangefungwa zaidi ya 52?
View attachment 3661102
Hawa watu ni miyeyusho.
View attachment 3661105
Ila we jamaa haupo serious yaani unamfunga Aston villa mbovu kwa mbinde halafu unajitapa utafunga Chelsea 🤣Chelsea mmeona uzi wetu ndio sehemu ya kuja kujifurqhisha. Si ndio?
Nawaambia jpili sio mbaya. Chuma nne zipo pale pale
Hivi vichekesho vyako hua unavifikiria?Huwezi kunielewa ukiwa umebeba bendera ya ushabiki, Arteta kaichukua team yenu ikiwa haina mbele wala nyuma mpo nje ya top 4 lakini akaisuka na mkampa muda wa ujenzi ndio kaifanya iwe hii Leo mnacheza kwa identity yake kaona mpira mzuri hauwezi kuwalipa kwa sababu hamna wachezaji wenye viwango vikubwa wa kuwapa Mataji ndio maana akaamua acheze soka haramu. Huwezi kucheza mpira wa mzuri na hapo hapo unataka matokeo ukawategemea Kai, Madueke,Martinell, Jesus, Zubimend,Ben White, Eze n.k ndio maana akaamua kuchagua njia haramu kushinda taji utapinga lakini hiyo haibadilishi nyie mna wachezaji wengi wa kawaida wachezaji wengi kwenu wakija Chelsea namba hawapati na ndio maana tunawauziaga magarasa.
Mara ya mwisho umepata points tatu kwa Arsenal ni 2021.Ila we jamaa haupo serious yaani unamfunga Aston villa mbovu kwa mbinde halafu unajitapa utafunga Chelsea 🤣